Inafanya kazi fanya hiviNimejaribu haifanyi kazi, nielekeze zaidi if any additional information
Nenda shop ya mtandaoni wako unaoutumia lakini hakikisha unaenda na namba yako ya NIDA au kitambulisho kama unacho.Mkuu, nami nimeuliza, nimetajiwa namba mbili. Moja yangu, nyingine siyo yangu, ambayo ni ××××××××××
Kesho nitakwenda Voda kutoa taarifa hiyo!
Post yangu hapo juu (#2), niliiandika hiyo namba. Baada ya hapo, nikawa kama naitumia M PESA. Daaaah, si nimeona linaandikwa jina langu! Ikabidi nii-edit post yangu haraka, na kuandika ×××××××××!Nenda shop ya mtandaoni wako unaoutumia lakini hakikisha unaenda na namba yako ya NIDA au kitambulisho kama unacho.
Ni kuenda kwa aliyekusajili, na kumpiga mkwala. Hilo ni kosa kubwa sana mbele ya vyombo vya sheria.Ukishagundua unanufaika vipi ili kama ni fursa tuitumie si unajua hali tete kitaa
Sent using Jamii Forums mobile app