Hakikisha kila unachofanya ni maendeleo kwako badaye

Hakikisha kila unachofanya ni maendeleo kwako badaye

Princetaffa

New Member
Joined
Sep 5, 2022
Posts
2
Reaction score
12
Hakikisha kila unachofanya ni maendeleo kwako badae. Acha kuchoka mapema, jiangalie wangapi wapo nyuma yako wanakutegemea wewe. Usichoke muombe Mungu huku ukizidi kupambana.

Hata jiwe huvunjwa kwa jiwe, huu ni wakati wako sasa.

By princetaffa
 
Hakikisha kila unachofanya ni maendeleo kwako badae. Acha kuchoka mapema, jiangalie wangapi wapo nyuma yako wanakutegemea wewe. Usichoke muombe Mungu huku ukizidi kupambana.

Hata jiwe huvunjwa kwa jiwe, huu ni wakati wako sasa.

By princetaffa
Nakubali mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakikisha kila unachofanya ni maendeleo kwako badae. Acha kuchoka mapema, jiangalie wangapi wapo nyuma yako wanakutegemea wewe. Usichoke muombe Mungu huku ukizidi kupambana.

Hata jiwe huvunjwa kwa jiwe, huu ni wakati wako sasa.

By princetaffa
Kilicho baki tukomae tu
 
Back
Top Bottom