Hakikisha ukiondoka nyumbani kwenda kazini mji unazalisha mali

Fredrick SEBA

Member
Joined
Aug 13, 2011
Posts
36
Reaction score
5
Unaweza kufanya hivi kwa kumiliki mradi mdogo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji!
Naitwa fredrick seba, nakaa banana ukonga najishughulisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji pure, machotara yake na wamalawi, nauza mazao yake pia kuanzia mayai, vifaranga hadi kuku wakubwa yaani mitetea na majogoo! Pia natoa ushauri na elimu bure ya ufugaji bora na wa kisasa wa kuku, bata n.k
piga simu no. 0716/63-234 201
au fika banana ukonga ili upewe huduma uitakayo
karibu sana!
 
sema kakangu, wengine wakiambiwa wanansingia mtaji. Mtaji wa kwanza ni wazo.
 
sema kakangu, wengine wakiambiwa wanansingia mtaji. Mtaji wa kwanza ni wazo.

Wala sio mtaji mi nauza kifaranga chenye wiki 2 ambacho hakiitaji joto wala chanjo yaani vyote nimeshafanya mimi shs 3000, ukiwavyo kumi baada ya miezi 5 hadi sita hutanunua mayai wala kuku na utauza mazao yake pia sasa mji si unazalisha hapo
 
nilisafiri kwena mwanza ila sasa nipo mjini na bado mzigo upo!
karibuni sana
 
Kuku wakubwa unauza bei gani mkuu?
 
Tupe na chalenji za hiyo biashara yako,unawalishaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…