Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ulishakutana na hii changamoto?Okee
ha ha ha ha ndio hivyo mkuu,kitu kizuri ule kwenye mazingira mazuriDah, hii haita-apply kwa Mabaharia wa kula Apple kimasiala. Huo muda watautoa wapi kama wa kuvaa kondom tu wanakosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 anafatilia mambo ya mabaharia, na yalivokaa vibaya yatamwangukia, wao wenyewe wameyaegesha tu..Dah, hii haita-apply kwa Mabaharia wa kula Apple kimasiala. Huo muda watautoa wapi kama wa kuvaa kondom tu wanakosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawahi wa kwanza kwenye mada za wana ndoa kwani umeolewa?!Okee
Hahahahahaha nilikuwa napita tuUnawahi wa kwanza kwenye mada za wana ndoa kwani umeolewa?!
Ndioo ila nilimwambia "ndugu yangu utaniuwa"Ulishakutana na hii changamoto?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] daah sipati picha alijisikiaje aisee,Ndioo ila nilimwambia "ndugu yangu utaniuwa"
Tumezoeana hakujisikia vibaya😂[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] daah sipati picha alijisikiaje aisee,
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Aaah, samahani, uje kesho basiKwanini lakini? Hata sijamaliza kunyonya maziwa ya mama tayari ushaniita kwenye uzinzi...
Dah!