Hakikisheni mnaponunua nyumba za watu ndiyo yenyewe na kiwango

Hakikisheni mnaponunua nyumba za watu ndiyo yenyewe na kiwango

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Miaka ya nyuma sana kuliibuka wauza nyumba maeneo ya Mbagara na viunga vyake yani nyumba inajengwa kisha inauzwa na wauzaji wengi walikuwa Facebook.

Kisa kimoja kilimtokea jamaa yangu kusikia nyumba milioni 30 basi chapu kanunua, sasa alichokutana nacho ndio anajuta ni mwendo wa kurekebesha vilivyofichwa.

Mfano sehemu iliyotakiwa nondo kwenye zege wao wameweka nondo ndogo na sehemu ambazo tu madirisha na mlango.

Sasa huko naijeria kilichotokea ndio hiki kisa.

IMG_0464.jpeg
 
Ukitaka kununua nyumba kwanza angalia location ni bora kununua nyumba Manzese au Tandale kuliko Chamanzi au Chanika.
Hii ni kutoka na urais wa kufikia huduma muhimu na unaweza kuiza kwa uraisi .
 
Kule nyumbani miaka ya 2000 mwanzoni kulikuwa na ujanja mmoja unajenga Nyumba ya udongo ukimaliza unaipiga Lipu na kupiga rangi Kali na ndani unaweka vigae


Baada ya hapo unaingia bank unachukua hela kupitia dhamana ya Nyumba.


Ukimaliza unapotea.
 
Back
Top Bottom