Ndio hapo sasa atajua kama je ule msemo wa "be nice to people on your way up as you may find them on your way down" unaweza tumika kwenye hali zote?
Kazi nyingine kama huwezi kujizuia nakuwa a law-abinding citizen bora usizifanye.
Kwa hiyo kufinywa,kusutwa,kutishiwa kuuawa na wale uliowafunga ni sehemu ya adhabu?
Wadau mliobobea katika masuala ya Kaizari (lenedi kakaz) hebu nipeni mawazo yenu. Hivi ni sahihi na pia ni haki Hakimu/Jaji akihukumiwa kufungwa atupwe selo moja na wafungwa wa kawaida na baadhi yao wakiwa ni wale aliowafunga yeye? Sheria za haki za binadamu zanasemaje? Nauliza maana hayo yamemkuta Bi Jamila Nzota former hakimu wa wilaya Temeke.
BabaJ hivi Daktari akimuuliza fundi mchundo ni sehemu gani ya ku check oil kwenye gari,pamoja na kwamba katika taalum ya umakenika hilo swali ni trivial,hivi fundi atamwambia Daktari kwamba hilo ni swali la kijinga? BabaJ inawezekana wewe umebobea katika taaluma ya sheria ndo maana swali langu unaliona ni la kijinga lakini kumbuka si wana JF wote wamebobea katika fani na ndio maana wahenga walisema 'kuuliza si ujinga',verstanden Sie? irgend wie es get mir schon ihnen zu lessen,vielen dank und herzlich willkomen!There is a German saying that can be translated in English as:`There are no stupid questions but stupid answers´
Your post makes me think that this saying is none sense......I might have come across a stupid question.