Kwa kawaida, baada ya mahakama kutoa uamuz let's say kama ilivo hapo kwamba the accused is convicted, kinachofuata ni mahakama kuruhusu upande wa mshtakiwa (accused) kutoa utetez wao kwa lengo la kufanya maombi ya mitigation of punishment yan upunguzwaji wa kiwango cha adhabu, na pia upande wa mashtaka (prosecutors) huruhusiwa kutoa Aggravating factors ili kuiomba mahaka iongeze kiwango cha adhabu. sasa kwa mada yako hapo tuchukulie huu mfano hapa chin;-
Kwa mfano kwa kosa la burglary adhabu yake ni kifungo cha miaka kumi na nne kama kosa likifanyika mchana, ila kama ni usiku adhabu yake ni kifungo cha miaka 20.
sasa kama mtuhumiwa atajitetea basi mahakama na ikazingatia utetez wake bas INAWEZA ikapunguza kiwango cha adhabu kutoka miaka 15 au 20 had miaka 10.
Lakini kilichotokea hapo sijawahi kukutana nacho labda wazoefu watatuambia.
mi naona ni bora labda ungetuambia jamaa alijitetea vipi au hata full facys za kesi.
NAOMBA RADHI KWA UANDISHI MBOVU, NIPO SAFARINI.