Hakimu Nongwa anamuhjjumu Sheikh Ponda?

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2009
Posts
2,653
Reaction score
266
KESI YA UAMSHO


Jaji Mwampashi alisema sheria iliyotumiwa na DPP kufunga dhamana ya watuhumiwa ambayo ni Ibara ya 19(1)(2) inampa uwezo wa kumuagiza ofisa wa polisi peke yake, si mahakama.
Alisema DPP alichotakiwa kueleza wakati wa kupinga dhamana ni sababu zipi za kuishawishi mahakama isitoe dhamana kwa watuhumiwa.
Hata hivyo alisema hawezi kufuta kibali cha DPP cha kufunga dhamana kwa sababu hakupewa nafasi ya kuja mahakamani kutetea hoja yake, lakini aliutaka upande wa walalamikaji kuwasilisha upya ombi la dhamana Mahakama Kuu.

swali
KWANINI HAKIMU NONGWA ANATUMIA KIPENGELE HICHO HICHO KUZUIA DAHAMANA YA SHEIKH PONDA
 

We subiri hukumu mkuu unalia lia nini!
Kama ana makosa atapa dawa yake tu..
kama hana basi..
lakini kulia lia hakusaidii kupata thamana.
Kwanza ni gaidi
 
Dhulma ni duniani mbinguni kila mtu atapata anachostahili.
 
Na Lwakatare wamfanyie hivyo hivyo mbaya zaidi ya kwake ni njama za mauaji anatakiwa kunyongwa huyu
 
Waambie watanzania kuwa jaji mwampashi ni wa mahakama ipi na katiba hiyo unayoizungumza hapo ni nchi gani?

Mahakama ya znz inasikiliza mashauri kwa mujibu wa katiba ya smz na siyo jmt....

Mahakama kuu ya znz ina majaji wanaoteuliwa na smz chief/mwenyekiti wa baraza ambaye ndiye rais wa smz....

All in all kama wandhani wanaonewa na ulitaka tuamini hivyo...basi waulize mawakili wao akina mzee njama na nassoro...kwanini hawajaenda kuktia rufaa maamuzi ya mahakama ya kisutujuu hicho unachohisi uonevu???


The answer is clear wanajua hii reference yako znz haina upenyo kwenye mahakama za jmt na kuna maamuzi tele juu ya hili hivyo wameonelea ni kupoteza muda...wakaamua kupambana mahakamani kiume....which is bravely.


Uwe unaenda mahakamani mkuu na si kumwaga sumu humu jamvini.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…