Hakubanduka kifuani mpaka majogoo!

Hebu njuzeni kidada, hapa kifuani kunani? afu changu kina-muscles, huwa
hamuumii kulala hapa mpaka asubuhi?



Inabid uende ukajuzwe kidogo manake mpaka kuuliza hivyo ina mana hujui maana ya shughuli nzima hiyo
 
 
Hebu njuzeni kidada, hapa kifuani kunani? afu changu kina-muscles, huwa
hamuumii kulala hapa mpaka asubuhi?
heee kumbe kina muscles kwa maana hiyo umejazia, hata mi nisingebanduka.
 
 
Hebu njuzeni kidada, hapa kifuani kunani? afu changu kina-muscles, huwa
hamuumii kulala hapa mpaka asubuhi?

inabid umwulize huyo anayefaidi hicho kifua..... kwani ww huwa unajifeel vp akipozi kwa kifua?
 
Inachekesha sana, Mungu kaumba bwana, kwa hiyo wanajisikia fresh sana.
 
Ya kweli hayo lakini ........yaani hata kueleza ni ngumu?
Ni lile joto, smell or just cuddling?


mimi huwa i feel more secure and more covered ninipolala juu ya kifua cha mpenzi wangu yani i cant explain how i feel ila kuna raha yake kwa kweli
 
kifua cha umpendae ni sehemu inayokufanya ujisikie raha na amani.
 
Gal u made me feel like a rejuvenated man....... CM here till u fall a sleeepppp! LOL!
 
Mie huesabu mabati kila siku maana hulaliwa kifuani mpaka nimezoea.
lakini i feel she feels safe akinilalia kifuani. kumbe wanahajutika bana
mkubwa mie pia nlikuwa sijui kuna raha gani? ngoja tuendelee kujifunza ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…