Hakuna aliyetapeliwa kuhusu ajira mpya?

Hakuna aliyetapeliwa kuhusu ajira mpya?

Mbuzi Mzee

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2015
Posts
348
Reaction score
82
Wakubwa,hili vuguvugu la sintofaham ya kupata ajira kwa walimu hususani kwa wale walioclear na kuachwa hakuna aliemstukia mtu yeyote anaye dai pesa ili kupata chance ya kupata ajira?kama yupo atuambie ni nan au njia zake za utapeli,
Asanteni na karibuni
 
Kawafunge Escrow....Fanya yko kijana unataka ujue ili iweje
 
Back
Top Bottom