Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaJamaa hana maneno mengi
Nachekaga sanaUtashangaa anakuambia natumaini mto mada umepata muongozo haha
Ngoja waje kukupa muongozoHahahaha
Nimeanza kwa kucheka kwa maana Smart911 is among the strangest members humu JF.
Mzee wa:
"Ngoja waje kukupa muongozo"
"binadamu wa siku hizi ni wabishi sana"
"Natumaini mtoa mada ulipata muongozo"
"cc:mahondaw"
Jamaa wala hanaga cha kuongea zaidi ya hizi kauli. Daah
Sema wewe ndio hujawahi kuona uzi wakeHahahaha,
Nimeanza kwa kucheka kwa maana Smart911 is among the strangest members humu JF.
Mzee wa:
"Ngoja waje kukupa muongozo"
"binadamu wa siku hizi ni wabishi sana"
"Natumaini mtoa mada ulipata muongozo"
"cc:mahondaw"
Jamaa wala hanaga cha kuongea zaidi ya hizi kauli. Daah!
Big up kwake.Nampenda raraa reree yeye hana choyo na mambo ya like. Ana like [emoji106] kila mada