Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Hahahaha,

Nimeanza kwa kucheka kwa maana Smart911 is among the strangest members humu JF.

Mzee wa:
"Ngoja waje kukupa muongozo"
"binadamu wa siku hizi ni wabishi sana"
"Natumaini mtoa mada ulipata muongozo"
"cc:mahondaw"

Jamaa wala hanaga cha kuongea zaidi ya hizi kauli. Daah!
 
Hahahaha

Nimeanza kwa kucheka kwa maana Smart911 is among the strangest members humu JF.

Mzee wa:
"Ngoja waje kukupa muongozo"
"binadamu wa siku hizi ni wabishi sana"
"Natumaini mtoa mada ulipata muongozo"
"cc:mahondaw"

Jamaa wala hanaga cha kuongea zaidi ya hizi kauli. Daah
Ngoja waje kukupa muongozo

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha,

Nimeanza kwa kucheka kwa maana Smart911 is among the strangest members humu JF.

Mzee wa:
"Ngoja waje kukupa muongozo"
"binadamu wa siku hizi ni wabishi sana"
"Natumaini mtoa mada ulipata muongozo"
"cc:mahondaw"

Jamaa wala hanaga cha kuongea zaidi ya hizi kauli. Daah!
Sema wewe ndio hujawahi kuona uzi wake

Enzi zile yuko kwenye penzi zito,mahaba mahabani alikuwa kila mwaka anabandika uzi wa kumpongeza mpenzi wake kutimiza miaka fulani
Siku akipewa miuno feni ataweka uzi wa kusifia mpenzi wake na vingereza vyao vya hapa na pale 🤣

Mapenzi haya dadeq! 😂

Kimsingi Smart911 tushaona sana nyuzi zake za kutosha
 
Back
Top Bottom