Si unajuwa mambo ya vijana wa kileo, mambo ni mengi, wapo bizeHuyo babe wako jirani yangu, kwanza nimeshangaa kwann hajanipa taarifa?
Kama wewe ulivyonipigaga kibuti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Enzi za couple jf
Hapa nilipo nimepagawa tayari, ukiongezea hivyo tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatimaye umefika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui nianze na swali lipi?
Emu naomba unifundishe kukata viuno nimpagawishe CW wangu anipende km ulivyopendwa wewe
Asikufiche kitu maana kanimaliza kabisaMweh uduguuu acha kunichotraaa basiii khakhakhaaaa!! Nasubiria unipe maufundi unayompa haniii akoo CW mieeee fanya mafekecheee nizeeeke vizuree uduguuu akooo[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]!!
Nitakusaidia kuwaletaWacha wee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Arririiiiiiiiiiiiiiiiiiii harusi tunayo Antonnia cazee wako kapata mchumba
Mimi kamati ya burudani nawaleta WEUSI [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Hapa nilipo nimepagawa tayari, ukiongezea hivyo tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787] upambe unauwezaSema naziogopa zina kelele zikianza kupaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Tutatumia gari la Kantri atatuwekea full tank
Nitakusaidia kuwaleta
Wenge limeisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado wewe una mawenge, nataka nikukamate kisawa sawa [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
[emoji1787][emoji1787] upambe unauweza
Wenge limeisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wowote unaoujua
Poa kipenzii za Siku mingi???@Mahondaw mambo?
Fresh...mekumissPoa kipenzii za Siku mingi???
NdioHukuwahi kuona uzi wangu?
Soon tuungane tuipange tusherekee nani unamjua atulete vifaru watoe minoti kwenye hii harusiOyooooooooo!! Shem harusi tunayo Unique Flower mimi m/kiti kamati ya burudani lazima harusi iwe pambe WEUSI ndani ya nyumba tunapata ladha halisi ya hip hop [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji12]
Kuna mapenzi humu na hatupeani taarifa yani...yakibuma ndo kama hivi mambo yote hadharani🤣🤣🤣Nimekuja leo huku yani mecheka balaa, humu kuna siri juu ya siri zinaibuka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
✊✊jiheshimu