Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Namtajia ili shem akitaka kuchepuka wizo anatusaidia kuchamba km hatuko online maana humu nyaku nyaku wengi mpk piem wanajipeleka kwa mabebe zetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee wizoo kibokooo, mbna Mr vocha atajutaa kumfahamu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mrefu au amedidimiaa kama shem lake?

Bonge la bwana limeenda hewani afu wizo umkome mume wangu mrefu mfyuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ss hivi nataka unilindie ukiona nyaku nyaku anamsogelea umpe makavu mana kuna muda nitakua clinic na mimba ya CW Jr [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee wizoo kibokooo, mbna Mr vocha atajutaa kumfahamu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atusaidie ulinzi shirikishi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee wizoo kibokooo, mbna Mr vocha atajutaa kumfahamu.
Kama ni TALL, DARK and HANDSOME ntaangaliaa uwezekano wa KUJIWEKA jamanii, mnisamehe mimi [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]

Ma-TALL ni wachachee tutabanana tu humo humo kwa kweli [emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…