Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Nacheka kama mwehuu huku mjueee nyieeee🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠!!
Jf sihamiiiiii 🕺🕺🤠🤠🤠!!
 

Hatimaye umefika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui nianze na swali lipi?
Emu naomba unifundishe kukata viuno nimpagawishe CW wangu anipende km ulivyopendwa wewe
 
Dada mzuri ulipotelea wapi???
 
Hatimaye umefika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui nianze na swali lipi?
Emu naomba unifundishe kukata viuno nimpagawishe CW wangu anipende km ulivyopendwa wewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤠🤠😂! Kiuno hiki cha kizee kilichokaza uduguuu nijulie wapi kukata mieee tena ndio nataka wewe Kungwi nyakanga uriginareeee nije unifundisheee uduguuu!
huko kupendwa which when who???🤣🤣🤣🤣🤠🤠!!
 
Yeye ana mke wake mama ngina, afu anavizia mbususu za bure humu ili kuzipata anawapanga vijana wake wasituoe
Sisi hatujatulia tunaambiwa
Eti wale waondoke no kula ubwabwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona mama Ngina
 
Miss you sana uduguuu hebu naombeni samareee pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! Make nasoma koments najikuta sona mbavuuuu [emoji1783][emoji1783][emoji16][emoji16]!!
cocastic Missy Gf @Penseli4

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jf yenu nzito hii
Wewe nasikia ulimteka mzee wa miongozo kwa miuno feni ndo nataka nilipie nichukue hiyo kozi niende sawa na shemejio
Malipo yapo usijali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…