kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Jambo ndugu zangu,
Nauliza hakuna system nyingine ya kucheki live league ya TV online tofauti na azam TV Max kwa wale ambao wako nje ya Tanzania?
Maana huu mtandao wa azam mbona nashindwa kuelewa hivi unaweza kufungua app yao uka save every thing mwisho kabisa wasikutumie code.
Nauliza hakuna system nyingine ya kucheki live league ya TV online tofauti na azam TV Max kwa wale ambao wako nje ya Tanzania?
Maana huu mtandao wa azam mbona nashindwa kuelewa hivi unaweza kufungua app yao uka save every thing mwisho kabisa wasikutumie code.