Hakuna biashara yoyote ulimwenguni yenye faida kubwa kama hii si ya silaha wala sheli

Hakuna biashara yoyote ulimwenguni yenye faida kubwa kama hii si ya silaha wala sheli

mwibamwiba

Senior Member
Joined
May 22, 2015
Posts
150
Reaction score
38
Duniani kote hakuna biashara yenye faida kubwa kama hii, hakuna biashara yoyote ulimwenguni unayoweza kuifananisha nayo si ya mafuta wala almasi wala silaha za kivita na hakuna biashara nyepesi katika ufanyikaji wake kama hii, wao wanacheza na code tu basi huku wanacheza game na kunywa juice, nayo ni wenye makampuni ya simu na uuzaji wa vocha. Ila swali langu ni nani kashajiuliza ni nani hasa anaemiliki biashara hii, Je, ni nchi au kundi la watu au CIA, maana kama taifa lolote ulimwenguni lingetaka kuwekeza na kupata faida lingeanzisha biashara hii, Je kuna ugumu wowote kuianzisha maana vocha za simu zinanunuliwa kwa maelfu kote ulimwenguni na hapo ndio ninapata wasiwasi na takwimu za hisa ni kweli simu inazidiwa na viwanda vya cement.

Naomba ufafanuzi
 
Mkuu tunaomba uthibitisho wako juu ya usemalo kwamba biashara ya simu inalipa kuliko biashara zozote zile kama mafuta,silaha n.k
 
biashara yenye profit kubwa,na hasara kubwa kwa wakati moja ndo nzuri unatumia nguvu kidogo akili nyingi kuchambua na kufikiri nayo ni BAHATI NASIBU. Ya pili inayoifatia ni MPIRA wa MIGUU.kwa mtazamo wangu
 
mkuu tunaomba uthibitisho wako juu ya usemalo kwamba biashara ya simu inalipa kuliko biashara zozote zile kama mafuta,silaha n.k
mafuta hupanda bei na kushuka wakati wowote na siku si nyingi magari ya umeme na kuchaji yanakuja au magari ya solar hivyo yatapolomoka zikiwemo ndege za solar.madini yanashuka thamani kila siku soko sio la uhakika.ila katika mambo muhimu ya binadamuu na ni sehemu ya utamaduni wake ni luugha yani mawasiliano hivyo aliewekeza humo biashara yake ni ya milele maana ni lazima awasiliane tu,ni sawasawa na aliewekeza kwenye afya yanii madawa na hospital lazima watu waumwe tu na biashara tafanyika daima ila mafuta si sana maana dunia sasa inarudi enzi za zamani seriation yani kutumia baiskel au kutembea kwa miguu hukuwaona waliotokea geita kumfuata mh.kule dar kwenye tausi AU WANAOZUNGUKA DUNIA KWA BAISKELI DAR,SO MAFUTA MDA SI MREFU YATAKUWA SIO DILI KIVILE IKIWEMO NA MATUMIZI YA NYUKILIA
 
Duniani kote hakuna biashara yenye faida kubwa kama hii, hakuna biashara yoyote ulimwenguni unayoweza kuifananisha nayo si ya mafuta wala almasi wala silaha za kivita na hakuna biashara nyepesi katika ufanyikaji wake kama hii, wao wanacheza na code tu basi huku wanacheza game na kunywa juice, nayo ni wenye makampuni ya simu na uuzaji wa vocha. Ila swali langu ni nani kashajiuliza ni nani hasa anaemiliki biashara hii, Je, ni nchi au kundi la watu au CIA, maana kama taifa lolote ulimwenguni lingetaka kuwekeza na kupata faida lingeanzisha biashara hii, Je kuna ugumu wowote kuianzisha maana vocha za simu zinanunuliwa kwa maelfu kote ulimwenguni na hapo ndio ninapata wasiwasi na takwimu za hisa ni kweli simu inazidiwa na viwanda vya cement.

Naomba ufafanuzi

Sasa wewe umeshaconclude kwamba makampuni ya simu ndio yanalipa halafu ufafanuzi unataka kwetu, huu ndio unaitwa ujinga.

Nilitegemea thread yako ije kwa mtindo wa swali ni biashara gani yenye faida kubwa kuliko zote hapa duniani?

Labda nirudi kwako unaujuwa mtaji wa kuanzisha kampuni ya mawasiliano? Je unajuwa BTS Tower moja inagharimu shilling ngapi kuijenga na kumlipa mwenye kiwanja kila mwaka?

Je unajuwa ni kampuni ngapi zinaprovide service kwenye kampuni ya mawasiliano na malipo yao yakoje?

Unaweza kutueleza ni kwa nini Tritel ilifirisika?
 
Sasa mbona na wewe umejijibu kuwa nilikuwa siyaelewi hayo yote,ndio utupe elimu uandishi huo ni wa kuzua mjadala kama wako uteleweshe zaidi hasa sheria zake mana elimu mtandaoni siku hizi,
 
Sasa wewe umeshaconclude kwamba makampuni ya simu ndio yanalipa halafu ufafanuzi unataka kwetu, huu ndio unaitwa ujinga.

Nilitegemea thread yako ije kwa mtindo wa swali ni biashara gani yenye faida kubwa kuliko zote hapa duniani?

Labda nirudi kwako unaujuwa mtaji wa kuanzisha kampuni ya mawasiliano? Je unajuwa BTS Tower moja inagharimu shilling ngapi kuijenga na kumlipa mwenye kiwanja kila mwaka?

Je unajuwa ni kampuni ngapi zinaprovide service kwenye kampuni ya mawasiliano na malipo yao yakoje?

Unaweza kutueleza ni kwa nini Tritel ilifirisika?

matola maswali haya nna hamu ya kupata majibu ya haya maswali
 
Biashara inayolipa kuliko zote me naona ni biashara ya dini, ndio maana migogoro haiishi kwenye nyumba za ibada.Watu wanashutumiana ubadhilifu wa fedha daily
 
Duniani kote hakuna biashara yenye faida kubwa kama hii, hakuna biashara yoyote ulimwenguni unayoweza kuifananisha nayo si ya mafuta wala almasi wala silaha za kivita na hakuna biashara nyepesi katika ufanyikaji wake kama hii, wao wanacheza na code tu basi huku wanacheza game na kunywa juice, nayo ni wenye makampuni ya simu na uuzaji wa vocha. Ila swali langu ni nani kashajiuliza ni nani hasa anaemiliki biashara hii, Je, ni nchi au kundi la watu au CIA, maana kama taifa lolote ulimwenguni lingetaka kuwekeza na kupata faida lingeanzisha biashara hii, Je kuna ugumu wowote kuianzisha maana vocha za simu zinanunuliwa kwa maelfu kote ulimwenguni na hapo ndio ninapata wasiwasi na takwimu za hisa ni kweli simu inazidiwa na viwanda vya cement.

Naomba ufafanuzi
lazima iwe na faida kubwa...kwa mfano mdogo tu wa kukuuzia vocha we faida yako kuongea tu wanapiga hela ya maana...ila pia maswali ya Matola yakiletewa majibu tutapata ufunguzi zaidi
 
Diamond ( Madini )
Silaha.
Dini.
Siasa.

Hizi biashara hazina mpinzani katika faida.

Hiyo ya mawasiliano na teknolojia labda ndo itafuatia baada ya hizo.
 
Hivi ndege moja ya B-52 Spirit ni sh ngap? Kama sikosei is about $737 Milion, hapa ni vocha ngap za elfu kumi kumi, na kwa watu wa ngap ambao wana miliki cm, na hizi ndege zimenunuliwa ngap ni mfano tuu
 
Hivi ndege moja ya B-52 Spirit ni sh ngap? Kama sikosei is about $737 Milion, hapa ni vocha ngap za elfu kumi kumi, na kwa watu wa ngap ambao wana miliki cm, na hizi ndege zimenunuliwa ngap ni mfano tuu
Aisee watu mnawaza balaa,ngoja tuone ufafanuzi kwa wanaojua!!!
 
Hivi ndege moja ya B-52 Spirit ni sh ngap? Kama sikosei is about $737 Milion, hapa ni vocha ngap za elfu kumi kumi, na kwa watu wa ngap ambao wana miliki cm, na hizi ndege zimenunuliwa ngap ni mfano tuu

Hapo hujaweka sukhoi line (Fighter & Bombers ) pia hujaweka makombora, bado hujaweka radar, bado hujaweka defence systems mbalimbali kama iron dome nk.
 
biashara yenye profit kubwa,na hasara kubwa kwa wakati moja ndo nzuri unatumia nguvu kidogo akili nyingi kuchambua na kufikiri nayo ni BAHATI NASIBU. Ya pili inayoifatia ni MPIRA wa MIGUU.kwa mtazamo wangu

Mzee mwenzangu naona umepiga hesabu ya mikeka. Tehtehethete
 
Hapo hujaweka sukhoi line (Fighter & Bombers ) pia hujaweka makombora, bado hujaweka radar, bado hujaweka defence systems mbalimbali kama iron dome nk.
Alafu ndio tulinganishe na vocha za 200
 
Back
Top Bottom