Hakuna binadamu wa udogo, dunia itambue maumivu ya Wapelestine

Hakuna binadamu wa udogo, dunia itambue maumivu ya Wapelestine

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Hasira walizonazo watanzania, wapalestina wanaishi nazo miaka miaka yote. Let’s be realistic.

Kilochofanyika na Hamas sio sahihi lakini kinaelezeka. Tatizo watu wanaendeshwa na chuki ya dini. Kuna mtu humu amekua na hasira mpaka kusema atamtafuta member ambae yuko upande wa palestine.

Hasira kali baada ya video ya Mtanzania kuuwawa na hamas, pole zaidi kwa familia, ameuwawa kikatili.

Humu ndani watu walikua wakishangilia mamia ya watu wakiuliwa gaza. Wale wanaoiuliwa nao wanadugu zao vile vile. Wanapata uchungu zaidi ya huu ambao watz wameupata.

Hakuna binadamu wa udongo

Sasa fikiria wewe ni mpaleatina, bulldozers za wayahudi limekuja likavunja kijiji chote, waliokaidi wakapigwa lisasi hapohapo, mashamba yenu ikafyekwa na mkafukuzwa.

Kisha siku mmepata njia ya kuresist mnakuta watu wanalima maeneo yenu. Na wanaishi mzingira ambayo mmefukuzwa na wengine waliuliwa.

Hasira ambazo watanzania wamezi feel, hayo ndio maisha ya wapalestina, hii haihalalishi mauaji bali inaonesha uhalisia wa mambo.

Hakuna binadamu wa udongo.

Asilimia kubwa humu ndani mngekua mnaishi palestine au mnapitia wanayoyapitia nanyi mgebeba siraha vile vile. Hakuna binadamu wa udogo, wanaouliwa miama yote kule gaza nao ni binadamu kama MOLLEL. Wana ndugu jamaa na marafiki. Na ndio wanaogeuka na kushika siraha.

Hakuna binadamu wa udongo.
 
Watanzania wengi ni wanafiki tu na pia ni watu wanaondeshwa na mihemko.

Watanzania hawa hawa huwezi kuwaona wakiwa na uchungu na Watanzania wenzao lukuki waliouwawa na polisi!! Kamwe huwezi kuwaona wakiwa na uchungu na Watanzania wenzao waliopotezwa na watu wasiojulikana!!

Ila kwa sababu wameiona hiyo clip ya huyo kijana, basi hatunywi maji. Kama tunataka kweli kupigania haki ya ndugu zetu wote wanao onewa na wengine, basi tuache unafiki, double standard, na mihemko.


Tunapoamua wote leo kuwalaani hao Hamas kwa mauaji ya huyo kijana wa Kitanzania, basi tuwalaani pia polisi wetu kwa mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi kule Nyololo Iringa, tuwalaani kwa mauaji ya wale wafanyabiashara waliowabambikia kesi ya ujambazi, tuwalaani waliowapoteza akina Ben Saanane, Azory Gwanda, na wengineo wengi!
 
Watanzania wengi ni wanafiki tu na pia ni watu wanaondeshwa na mihemko.

Watanzania hawa hawa huwezi kuwaona wakiwa na uchungu na Watanzania wenzao lukuki waliouwawa na polisi!! Kamwe huwezi kuwaona wakiwa na uchungu na Watanzania wenzao waliopotezwa na watu wasiojulikana!!

Ila kwa sababu wameiona hiyo clip ya huyo kijana, basi hatunywi maji. Kama tunataka kweli kupigania haki ya ndugu zetu wote wanao onewa na wengine, basi tuache unafiki, double standard, na mihemko.


Tunapoamua wote leo kuwalaani hao Hamas kwa mauaji ya huyo kijana wa Kitanzania, basi tuwalaani pia polisi wetu kwa mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi kule Nyololo Iringa, tuwalaani kwa mauaji ya wale wafanyabiashara waliowabambikia kesi ya ujambazi, tuwalaani waliowapoteza akina Ben Saanane, Azory Gwanda, na wengineo wengi!
Ni sababu ya kujaji mambo kwa chuki.
 
Hasira walizonazo watanzania, wapalestina wanaishi nazo miaka miaka yote. Let’s be realistic.

Kilochofanyika na Hamas sio sahihi lakini kinaelezeka. Tatizo watu wanawndeshwa na chuki ya dini. Kuna mtu humu amekua na hasira mpaka kusema atamtafuta member ambae yuko upande wa palestine.

Hasira kali baada ya video ya Mtanzania kuuwawa na hamas, pole zaidi kwa familia, ameuwawa kikatili.

Humu ndani watu walikua wakishangilia mamia ya watu wakiuliwa gaza. Wale wanaoiuliwa nao wanadugu zao vile vile. Wanapata uchungu zaidi ya huu ambao watz wameupata.
Hakuna binadamu wa udongo

Sasa fikiria wewe ni mpaleatina, bulldozers za wayahudi limekuja likavunja kijiji chote, waliokaidi wakapigwa lisasi hapohapo, mashamba yenu ikafyekwa na mkafukuzwa.

Kisha siku mmepata njia ya kuresist mnakuta watu wanalima maeneo yenu. Na wanaishi mzingira ambayo mmefukuzwa na wengine waliuliwa.

Hasira ambazo watanzania wamezi feel, hayo ndio maisha ya wapalestina, hii haihalalishi mauaji bali inaonesha uhalisia wa mambo.
Hakuna binadamu wa udongo.

asilimia kubwa humu ndani mngekua mnaishi palestine au mnapitia wanayoyapitia nanyi mgebeba siraha vile vile. Hakuna binadamu wa udogo, wanaouliwa miama yote kule gaza nao ni binadamu kama MOLLEL. Wana ndugu jamaa na marafiki. Na ndio wanaogeuka na kushika siraha.
Hakuna binadamu wa udongo.
unazungumzia wapalestina waliomuu ndugu yetu mtanzania joshua na mwenzake!!! au!! https://jamii.app/JFUserGuide them{LET THEM DIE}
 
Sasa unalia nini wakati dunia nzima ipo upande wa palestina? Kwa hiyo wanayofanyiwa israel unaona sawa tu, kwani waisraeli ni watu wa chuma? Acheni kupandikiza chuki kwa waisrael, wapalestina nao waache uchokozi kwa israel
 
Hasira walizonazo watanzania, wapalestina wanaishi nazo miaka miaka yote. Let’s be realistic.

Kilochofanyika na Hamas sio sahihi lakini kinaelezeka. Tatizo watu wanawndeshwa na chuki ya dini. Kuna mtu humu amekua na hasira mpaka kusema atamtafuta member ambae yuko upande wa palestine.

Hasira kali baada ya video ya Mtanzania kuuwawa na hamas, pole zaidi kwa familia, ameuwawa kikatili.

Humu ndani watu walikua wakishangilia mamia ya watu wakiuliwa gaza. Wale wanaoiuliwa nao wanadugu zao vile vile. Wanapata uchungu zaidi ya huu ambao watz wameupata.
Hakuna binadamu wa udongo

Sasa fikiria wewe ni mpaleatina, bulldozers za wayahudi limekuja likavunja kijiji chote, waliokaidi wakapigwa lisasi hapohapo, mashamba yenu ikafyekwa na mkafukuzwa.

Kisha siku mmepata njia ya kuresist mnakuta watu wanalima maeneo yenu. Na wanaishi mzingira ambayo mmefukuzwa na wengine waliuliwa.

Hasira ambazo watanzania wamezi feel, hayo ndio maisha ya wapalestina, hii haihalalishi mauaji bali inaonesha uhalisia wa mambo.
Hakuna binadamu wa udongo.

asilimia kubwa humu ndani mngekua mnaishi palestine au mnapitia wanayoyapitia nanyi mgebeba siraha vile vile. Hakuna binadamu wa udogo, wanaouliwa miama yote kule gaza nao ni binadamu kama MOLLEL. Wana ndugu jamaa na marafiki. Na ndio wanaogeuka na kushika siraha.
Hakuna binadamu wa udongo.
HAMAS hawakua na sababu za kumuua Joshua ,,Wana ugomvi na Israel na sio kila MTU alieko Israel .. wangetumia Intelligensia yao kubain Kama Joshua Ana .madhara kwao au laah!.. siwezi kusimama upande wao kwa hiki.. Hawa NI magaidi . Eweee mwenyezi Mungu ENDELEA kusimama na Taifa lako

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sisi tunaangalia mtanzania mwenzetu.hao wapalestine wa gaza wanatuhusu nini sisi?.Acha kujipendekeza kwenye mataifa ya watu.Siku ukifa ni sisi weusi wenzako ndio tutakaokuzika sio hao watu wa uko gaza ambao hata hawaakujui.Sisi tuangaike na anayetuhusu nawao wataangaika nawanao wahusu uko kwao.Acha kujipendekeza.
 
HAMAS hawakua na sababu za kumuua Joshua ,,Wana ugomvi na Israel na sio kila MTU alieko Israel .. wangetumia Intelligensia yao kubain Kama Joshua Ana .madhara kwao au laah!.. siwezi kusimama upande wao kwa hiki.. Hawa NI magaidi . Eweee mwenyezi Mungu ENDELEA kusimama na Taifa lako

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wapalestina ni magaidi
 
Sisi tunaangalia mtanzania mwenzetu.hao wapalestine wa gaza wanatuhusu nini sisi?.Acha kujipendekeza kwenye mataifa ya watu.Siku ukifa ni sisi weusi wenzako ndio tutakaokuzika sio hao watu wa uko gaza ambao hata hawaakujui.Sisi tuangaike na anayetuhusu nawao wataangaika nawanao wahusu uko kwao.Acha kujipendekeza.
Hawakufanya mauaji kwakua ni mtanzania, wao ni kuona ni mtu anaeshirikiana na Israel kwenye kupikonywa ardhi, kumbuka mashamba wanayofanyia kazi ni maeneo yenye migogoro
 
Sasa unalia nini wakati dunia nzima ipo upande wa palestina? Kwa hiyo wanayofanyiwa israel unaona sawa tu, kwani waisraeli ni watu wa chuma? Acheni kupandikiza chuki kwa waisrael, wapalestina nao waache uchokozi kwa israel
Israhell walichokozwa lini
Wangekua wamekaa huko makwao wametulia yasingewakuta haya
Wazayuni wanatakiwa walaaniwe popote pale ndani ya ardhi za Palestine
 
Hasira walizonazo watanzania, wapalestina wanaishi nazo miaka miaka yote. Let’s be realistic.

Kilochofanyika na Hamas sio sahihi lakini kinaelezeka. Tatizo watu wanaendeshwa na chuki ya dini. Kuna mtu humu amekua na hasira mpaka kusema atamtafuta member ambae yuko upande wa palestine.

Hasira kali baada ya video ya Mtanzania kuuwawa na hamas, pole zaidi kwa familia, ameuwawa kikatili.

Humu ndani watu walikua wakishangilia mamia ya watu wakiuliwa gaza. Wale wanaoiuliwa nao wanadugu zao vile vile. Wanapata uchungu zaidi ya huu ambao watz wameupata.

Hakuna binadamu wa udongo

Sasa fikiria wewe ni mpaleatina, bulldozers za wayahudi limekuja likavunja kijiji chote, waliokaidi wakapigwa lisasi hapohapo, mashamba yenu ikafyekwa na mkafukuzwa.

Kisha siku mmepata njia ya kuresist mnakuta watu wanalima maeneo yenu. Na wanaishi mzingira ambayo mmefukuzwa na wengine waliuliwa.

Hasira ambazo watanzania wamezi feel, hayo ndio maisha ya wapalestina, hii haihalalishi mauaji bali inaonesha uhalisia wa mambo.

Hakuna binadamu wa udongo.

Asilimia kubwa humu ndani mngekua mnaishi palestine au mnapitia wanayoyapitia nanyi mgebeba siraha vile vile. Hakuna binadamu wa udogo, wanaouliwa miama yote kule gaza nao ni binadamu kama MOLLEL. Wana ndugu jamaa na marafiki. Na ndio wanaogeuka na kushika siraha.

Hakuna binadamu wa udongo.
Misri imekata kutambua, Saudi Imekataa, Syria mewakata, Dunia ni nani? hao mnaowaiya makafikiri?
Si, wapalestina waende kwa hao wenzao wanao waunga mkono, Misri imejenga ukuta mkubwa zaidi na fensi ya umeme!

dunia una maanisha nchi gani?
Wewe kama mnyaturu wa Tanganyika unamuonea huruma Gaidi la kislamu linaloua mtanganyika mwenzako kwa kumchoma visu 13 na kumpiga risasi 21 huku likita alahu akbar? Umeona video ? Hilo gaidi ndio la kuonewa huruma?
 
Sisi tunaangalia mtanzania mwenzetu.hao wapalestine wa gaza wanatuhusu nini sisi?.Acha kujipendekeza kwenye mataifa ya watu.Siku ukifa ni sisi weusi wenzako ndio tutakaokuzika sio hao watu wa uko gaza ambao hata hawaakujui.Sisi tuangaike na anayetuhusu nawao wataangaika nawanao wahusu uko kwao.Acha kujipendekeza.
true man!!!...kuna wa2 wajinga sana humu,wana akili na fikra za kitumwa,,unakumbuka wale jamaa wa islamic state,mwaka si ukumbuki lani ni kati ya 2017-2021 kama sikosei,,,walikamata weusi waliokuwa wakienda ulaya pale libya,wakawavalisha vitamba kichwa kizima,wakawavalisha mavazi mekundu[walikuwa waafrika kama 100 hivi]alafu wakasema TAKBIIR!!,,then wakawachinja kuanzia nyuma da!!! alaf si unaonaga wafanya kaziwa ndani wakienda arabuni kufanya wanavoteswa!!!,,,,then waambie hao wanaoshangilia hao wauaji,,,,,,waende kwenye familia yoyote ya kiarabu watoe posa kama watakubaliwa!!!!!!!!...........idiots!! shame!!
 
Pole kijana
Hamas waendelee kuwapelekea moto magaidi wa kizayuni hata kama mtachukia mpelekewe tu moto
 
Back
Top Bottom