Jamani wana jamvi asa mbona sisikii besdei za wana Jamvi tena wakati nikiingia nilikuta watu mnajiandaa kukata keki ya besdei ya Festiledi1
Kulikoni zimekwisha? ama?
Makoo yamekauka yanahitaji kuchangamshwa!
sad reality..sob*sob*Yako tutakuimbia 2012
MJ1 tarehe ngapi nahisi nitakuwa maternity leave !!🙂
Moja yangu nyingine ya kipenzi changu jamani FL1Mj1 kumbe una tarehe mbili za kuzaliwa sisy napata kigugumizi
Moja yangu nyingine ya kipenzi changu jamani FL1
kwani wewe yako lini?
Fidel kwani kipenzi lazima awe yeye? Ni mwanangu bana ah!!Utamwimbiaje wkt ulisha mtema au mmrudiana?
MJ umekumbusha suala la msingi sana hilo. Yangu itakuwa 14 April wandugu,2kumbukane :-D