Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
Ukweli ni kwamba hawa jamaa wa hili kundi wana nguvu sana, ni almost serikali ndani ya serikali yetu, muungwana naye pia inaonekana kuwa either wamemizdi nguvu au yuko nao, kwa sababu haiwezekani hata Waziri Mkuu akaogopa watu ndani ya serikali ambayo yeye ndiye kinara, sasa anamuogopa nani?
Maana sio siri tena among wakuu wa taifa kuwa uamuzi wake on Meremeta, haukuwa wa kwake, kwa sababu according to the data in the private anaongea maneno mazito sana dhidi ya mafisadi, sasa iweje akija public anakuwa bubu? Anamuogopa nani? Hatuwezi kusema kuwa anamuogopa Shein,
Sasa Pinda anamuogopa nani? Hata huu uamuzi wa polisi na unga wa vumbi, hauwezi kuwa umeamuliwa bila ya kumfahamisha mapema, ndio maana umechukua karibu mwezi mzima kuutoa maana yake ni kwamba walikuwa kwanza wana-touch base zote kwanza!
Nawashauri kuachana na mada hii, mtaumia vichwa bure. Tukubali tu yaishe. Tusonge mbele. Bao jingine hilo tena la kisigino.
Kama ni Mwungana mbona amekaa kimya? Hawa ni watendaji chini yake. Amewachukulia hatua gani. Usilaumu njama. Laumu inaction ya Mwungana. He is his own worst enemy.
kumbe uchawi kweli unafanya kazi...mimi nilikuwa siamini,mpaka leo!
Chenge ameonakana akicheka akicheka pembeni, kwani sasa hivi wakati wengine wote mmeshikilia magalasha/sa yeye kashikilia majembe kwenye karata zake... aamue tu acheze vipi.. nani awe wa kwanza kushtakiwa? Sitta, Magazeti, ...
Hiyo battle of the titans isije ikawaumiza na wasiohusika
)
a. Hakuna Kamera iliyozimwa kuanzia mwaka 2006 (don't ask me walisema zilikuwa zimezimwa)
b. Kwenye mkanda uliodaiwa hakuna mtu aliyeonekana akifanya jambo lolote lile (mkanda mtupu?)
c. Vumbi lililoenda kuchunguzwa halikuwa na sumu yoyote inayotambulika.
d. Hakuna kitendo cha kishirikina.
Polisi wana uwezo gani wa kuchunguza mambo ya kishirikina?
Polisi wana uwezo gani wa kuchunguza mambo ya kishirikina?
Inabidi pia tufike mahala tukubaliane lengo la haya makamati kwenye nchi yetu huwa ni kuwasafisha watu fulani na wala sio kutafuta ukweli wa mambo, naogopa kusema kwamba hii ni pamoja na kamati ya "shujaa" wetu Mwakyembe!
Tunashukuru angalau wametoa majibu