Hakuna chama chenye jengo la kisasa kama CHADEMA

Hakuna chama chenye jengo la kisasa kama CHADEMA

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Baada ya makamanda kunishambulia sana nilipoleta uzi wa uzuri wa stand ya makao makuu ya nchi, nilijiuliza kwanini wanakuwa wabishi ndipo nilipoanza kuchunguza jengo la makao makuu yao pale mtaa wa ufipa, bila chembe ya unafiki nampongeza sana Mh Mbowe kwa jitihada hizi maana jengo ni classic ile mbaya yaani full ac , nimeambiwa ramani yake ilitokea Ubelgiji na wasanifu walitoka Ujerumani.

Nawakumbusha kuwa kodi ya miezi 6 iliyopita ni muhimu mkaikabidhi kwa mmiliki, naamini mmefurahia sana, karibuni kwa maoni.
CHADEMA.jpg
 
Naishauri chadema siku wakichukua nchi wa taifishe, Mali zote za ccm walizo waibia wananchi na kujimilikisha, Kama maredio, viwanja vya michezo, majengo ya biashara,
Kama baba wa taifa alivyo taifasha Mali za wahindi.
 
Naishauri chadema siku wakichukua nchi wa taifishe, Mali zote za ccm walizo waibia wananchi na kujimilikisha, Kama maredio, viwanja vya michezo, majengo ya biashara,
Kama baba wa taifa alivyo taifasha Mali za wahindi.
Viroba bana😂😂😂😂 eti wakichukua nchi, unazungumzia nchi ya ufipa au nchi gani?
 
Kwenye issue ya jengo tuache u-nazi, chadema tunafeli sana, hata sijui kama tunalo hata eneo tulilonunua huko Dodoma kwa ajili ya ujenzi wa Makao Makuu ya Chama!
Wenye mamlaka hebu lifikirieni hili
 
Duh!!! CHADEMA nao wapigajmamilion ya pessa yote wanapeleka wapi, yani ata jengo kujenga hamuwezi mtaweza kujenga nchi kweli nyie
 
hiyo inaweza kuwa nyumba ya mwenyekiti wa chama, anakula Kodi ya pango tena kwa Usd
 
Back
Top Bottom