MGANGA WA KIENYEJI
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 521
- 170
Kinyota inaonekana Wema yuko juu sana. Na mwanamume atakae pendwa nae hupata mafanikio katika shughuli zake.
Kitendo cha Diamond kuachana na Wema, tena katika mazingira kama ya kumdharau hivi, inaweza kua ndio mwisho wa Diamond kungaa! Kwani Umaarufu wa Wema pia ulisaidia sana Mafanikio ya Diamond.
Diamond hajarogwa na mtu, wala mtu yoyote asijitafutie umaarufu. Nguvu za kinyota ni saw na gravitational force. We walk upright because of the it. But it is invisible. Hivyo ndio nguvu za kinyota zinavyo fanya kazi.
Kuna sababu nyingi, lakini kinyota mimi ndio naona hivyo!
ktk maisha yangu mpaka leo hii sijawahi kuwa muumini wa mambo ya unajimu,mafanikio ya mtu yanatokana na jitihada zake ktk kufanya kazi sawa sawa pamoja na msaada toka kwa Muumba wake,hizo nyingine ni bla bla tu ambazo haziwezi kuwa proved beyond reasonable doubt.
ktk maisha yangu mpaka leo hii sijawahi kuwa muumini wa mambo ya unajimu,mafanikio ya mtu yanatokana na jitihada zake ktk kufanya kazi sawa sawa pamoja na msaada toka kwa Muumba wake,hizo nyingine ni bla bla tu ambazo haziwezi kuwa proved beyond reasonable doubt.
You will prove on this. Behind every successful man, there is a woman. Not your mother or you sister. Your spouse.
ungeekuwa na bidii hizi kwenye kutafuta pesa ungekuwa mbali sana badala ya kufuatilia maisha ya watu ambao hata kukufikiria hawakufikirii sembusa kukujuwa, majitu kama nyinyi ni hasara kwa taifa.
Uongo tu hakuna lolote, jamaa anajituma kwenye kazi yake!!!!!!
Uongo tu hakuna lolote, jamaa anajituma kwenye kazi yake!!!!!!
It takes more than hard work for a man to be successful.
Hakuna cha wema wala nini, kazi nzuri, show nzuri, muziki mzuri kwanini asing'ae???
Sidhani kama anajituma peke yake kuliko wengine, but lucky imemchagua yeye kutokana na kua na wema. Believe it or believe it not. But TIME will tell kama Loliondo.