ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Elimu ni Pana sana haiwezi kutolewa Bure, serikali haina huo uwezo.
Kuna wazazi wamebweteka tu kuwajibika Kwa watoto wakijodai ati serikali inatoa elimu Bure.
Viongozi wa serikali hawasomeshi kwenye hizi shule zenu za vumbi, kidumi na mfagio watoto wao wapo international school wanalipa ada Kwa dollar 💵💰
Elimu inajumuisha ubunifu, mazingira, majaribio, maabara, kazi za mikono, tehama. Shule za public hazina viwanja, maktaba, maabara, computer na mashamba. Watoto wanakaa darasani kama mifugo ya Masai zizini
Watoto hawapati chakula wanashinda shule na njaa hivi kweli mtoto atasoma aelewe akiwa na njaa kutwa nzima. Walimuuza hawatoshi, madawati hamna, madarasa hamna n.k
Elimu sio kuwa sare na madaftari tu. Watanganyika msitumike na wasiasa kuambiwa ati elimu Bure ni vizuri kuchangia Kwa kulipia ada ili madarasa yajenge, chakula n.k. Wanasiasa hata diwani hawapo kwenye shule za St kayumba, kidumu na mfagio, vumbi n.k
Kuna wazazi wamebweteka tu kuwajibika Kwa watoto wakijodai ati serikali inatoa elimu Bure.
Viongozi wa serikali hawasomeshi kwenye hizi shule zenu za vumbi, kidumi na mfagio watoto wao wapo international school wanalipa ada Kwa dollar 💵💰
Elimu inajumuisha ubunifu, mazingira, majaribio, maabara, kazi za mikono, tehama. Shule za public hazina viwanja, maktaba, maabara, computer na mashamba. Watoto wanakaa darasani kama mifugo ya Masai zizini
Watoto hawapati chakula wanashinda shule na njaa hivi kweli mtoto atasoma aelewe akiwa na njaa kutwa nzima. Walimuuza hawatoshi, madawati hamna, madarasa hamna n.k
Elimu sio kuwa sare na madaftari tu. Watanganyika msitumike na wasiasa kuambiwa ati elimu Bure ni vizuri kuchangia Kwa kulipia ada ili madarasa yajenge, chakula n.k. Wanasiasa hata diwani hawapo kwenye shule za St kayumba, kidumu na mfagio, vumbi n.k