STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Zamani nilikuwa nawashangaa Watu ambao wana
Marafiki Wachache (SMALL CIRCLE), nikawa najiuliza
yaani Dunia ilivyo na watu wengi hivi inawezekanaje
mtu akawa na MARAFIKI 7 TU?? Lakini sasa
nimeelewa jambo 1, HAKUNA FAIDA ya kuwa na
Marafiki Lundo ambao Hawakuingizii Hata Senti 5... A relationship should be a WIN-WIN SITUATION... Peaneni dili...Huyu awe na Bar na Iwe Bar yenu
wote, mnywe na kula ili RAFIKI YENU AINGIZE HELA..
Huyu awe na INSURANCE COMPANY, na Circle yote
ikate Bima kwake AINGIZE HELA... Huyu awe na
BAKERY na wote mnunue Mikate hapo na kumsaidia kuitangaza Wateja waongezeke...
HUO NDIO URAFIKI! Hamna Faida ya kuwa na Marafiki
Jeshi ambao ukipata hata shida ya Elfu 50 WOTE
WAMEFULIA HAWANA MSAADA, na hawakuingizii
Hela, ila ikifika Kila Ijumaa wao ndio wa kwanza
kutuma meseji za "OYA BATA WAPI LEO" Bata wako Bandani Wamelala
Kenge wa Maziwa we!
Marafiki Wachache (SMALL CIRCLE), nikawa najiuliza
yaani Dunia ilivyo na watu wengi hivi inawezekanaje
mtu akawa na MARAFIKI 7 TU?? Lakini sasa
nimeelewa jambo 1, HAKUNA FAIDA ya kuwa na
Marafiki Lundo ambao Hawakuingizii Hata Senti 5... A relationship should be a WIN-WIN SITUATION... Peaneni dili...Huyu awe na Bar na Iwe Bar yenu
wote, mnywe na kula ili RAFIKI YENU AINGIZE HELA..
Huyu awe na INSURANCE COMPANY, na Circle yote
ikate Bima kwake AINGIZE HELA... Huyu awe na
BAKERY na wote mnunue Mikate hapo na kumsaidia kuitangaza Wateja waongezeke...
HUO NDIO URAFIKI! Hamna Faida ya kuwa na Marafiki
Jeshi ambao ukipata hata shida ya Elfu 50 WOTE
WAMEFULIA HAWANA MSAADA, na hawakuingizii
Hela, ila ikifika Kila Ijumaa wao ndio wa kwanza
kutuma meseji za "OYA BATA WAPI LEO" Bata wako Bandani Wamelala
Kenge wa Maziwa we!