Hakuna faida ya kuwa na marafiki

Hakuna faida ya kuwa na marafiki

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Zamani nilikuwa nawashangaa Watu ambao wana
Marafiki Wachache (SMALL CIRCLE), nikawa najiuliza
yaani Dunia ilivyo na watu wengi hivi inawezekanaje
mtu akawa na MARAFIKI 7 TU?? Lakini sasa
nimeelewa jambo 1, HAKUNA FAIDA ya kuwa na
Marafiki Lundo ambao Hawakuingizii Hata Senti 5... A relationship should be a WIN-WIN SITUATION... Peaneni dili...Huyu awe na Bar na Iwe Bar yenu
wote, mnywe na kula ili RAFIKI YENU AINGIZE HELA..
Huyu awe na INSURANCE COMPANY, na Circle yote
ikate Bima kwake AINGIZE HELA... Huyu awe na
BAKERY na wote mnunue Mikate hapo na kumsaidia kuitangaza Wateja waongezeke...
HUO NDIO URAFIKI! Hamna Faida ya kuwa na Marafiki
Jeshi ambao ukipata hata shida ya Elfu 50 WOTE
WAMEFULIA HAWANA MSAADA, na hawakuingizii
Hela, ila ikifika Kila Ijumaa wao ndio wa kwanza
kutuma meseji za "OYA BATA WAPI LEO" Bata wako Bandani Wamelala
Kenge wa Maziwa we!
 
Zamani nilikuwa nawashangaa Watu ambao wana
Marafiki Wachache (SMALL CIRCLE), nikawa najiuliza
yaani Dunia ilivyo na watu wengi hivi inawezekanaje
mtu akawa na MARAFIKI 7 TU?? Lakini sasa
nimeelewa jambo 1, HAKUNA FAIDA ya kuwa na
Marafiki Lundo ambao Hawakuingizii Hata Senti 5... A relationship should be a WIN-WIN SITUATION... Peaneni dili...Huyu awe na Bar na Iwe Bar yenu
wote, mnywe na kula ili RAFIKI YENU AINGIZE HELA..
Huyu awe na INSURANCE COMPANY, na Circle yote
ikate Bima kwake AINGIZE HELA... Huyu awe na
BAKERY na wote mnunue Mikate hapo na kumsaidia kuitangaza Wateja waongezeke...
HUO NDIO URAFIKI! Hamna Faida ya kuwa na Marafiki
Jeshi ambao ukipata hata shida ya Elfu 50 WOTE
WAMEFULIA HAWANA MSAADA, na hawakuingizii
Hela, ila ikifika Kila Ijumaa wao ndio wa kwanza
kutuma meseji za "OYA BATA WAPI LEO" Bata wako Bandani Wamelala
Kenge wa Maziwa we!

Nakuona umeanza kukua sasa miaka mitatu baadaye utakuwa umepevuka vizuri.
 
Tulipokuwa vijana tulishangaa kwa nini matajiri hawana marafiki,kumbe waliona mbali.
Na wengi waliofanikiwa hawana mlolongo wa marafiki,na hata ukitaka kuwazoea huwezi pata kitu,funga safari nenda kwake hata maji ya kunywa hupati na utaishia kukaribishwa ndani ya geti lakini nje ya nyumba🙂
 
Zamani nilikuwa nawashangaa Watu ambao wana
Marafiki Wachache (SMALL CIRCLE), nikawa najiuliza
yaani Dunia ilivyo na watu wengi hivi inawezekanaje
mtu akawa na MARAFIKI 7 TU?? Lakini sasa
nimeelewa jambo 1, HAKUNA FAIDA ya kuwa na
Marafiki Lundo ambao Hawakuingizii Hata Senti 5... A relationship should be a WIN-WIN SITUATION... Peaneni dili...Huyu awe na Bar na Iwe Bar yenu
wote, mnywe na kula ili RAFIKI YENU AINGIZE HELA..
Huyu awe na INSURANCE COMPANY, na Circle yote
ikate Bima kwake AINGIZE HELA... Huyu awe na
BAKERY na wote mnunue Mikate hapo na kumsaidia kuitangaza Wateja waongezeke...
HUO NDIO URAFIKI! Hamna Faida ya kuwa na Marafiki
Jeshi ambao ukipata hata shida ya Elfu 50 WOTE
WAMEFULIA HAWANA MSAADA, na hawakuingizii
Hela, ila ikifika Kila Ijumaa wao ndio wa kwanza
kutuma meseji za "OYA BATA WAPI LEO" Bata wako Bandani Wamelala
Kenge wa Maziwa we!
Hii Mada yako ina ukweli mtupu.

Btw: We Don Need Friends Nowdays

"We Only Needs Business/ Educational Partners"

Marafiki wengi wanafiki / mzigo.
 
Zamani nilikuwa nawashangaa Watu ambao wana
Marafiki Wachache (SMALL CIRCLE), nikawa najiuliza
yaani Dunia ilivyo na watu wengi hivi inawezekanaje
mtu akawa na MARAFIKI 7 TU?? Lakini sasa
nimeelewa jambo 1, HAKUNA FAIDA ya kuwa na
Marafiki Lundo ambao Hawakuingizii Hata Senti 5... A relationship should be a WIN-WIN SITUATION... Peaneni dili...Huyu awe na Bar na Iwe Bar yenu
wote, mnywe na kula ili RAFIKI YENU AINGIZE HELA..
Huyu awe na INSURANCE COMPANY, na Circle yote
ikate Bima kwake AINGIZE HELA... Huyu awe na
BAKERY na wote mnunue Mikate hapo na kumsaidia kuitangaza Wateja waongezeke...
HUO NDIO URAFIKI! Hamna Faida ya kuwa na Marafiki
Jeshi ambao ukipata hata shida ya Elfu 50 WOTE
WAMEFULIA HAWANA MSAADA, na hawakuingizii
Hela, ila ikifika Kila Ijumaa wao ndio wa kwanza
kutuma meseji za "OYA BATA WAPI LEO" Bata wako Bandani Wamelala
Kenge wa Maziwa we!
Na wewe ungekuwa ni miongoni mwa waliofulia, ungejisikiaje marafiki zako wote wa karibu ambao angalau wanajiweza kuliko wewe wakikutupa kwa kuwa umefulia? Kataa marafiki wanaoweza kukupotosha na kukuharibia maisha yako tu lakini si kwa kigezo cha kufulia. Marafiki ni muhimu kwetu kwa namna yeyote ile sio lazima wawe wanakusaidia. Futa hiyo dhana ya kusaidiwa, hatuishi ili tusaidiwe ila ni wajibu wetu kila mmoja ajisaidie wenyewe.
 
Back
Top Bottom