Jamani ili demokrasia iwepo lazima udikteta uwepo maana kama kwenye kuna demokrasia sasa tunakuwa tunadai nini?
Udikteta au maendeleo. Na ubaya wa waafrika tunadai demokrasia badala ya kudai maendeleo maana Mimi naamini maendeleo na mabadiliko ya kimaisha yanamfanya mtu kusahau udikteta...Rwanda...
Sasa Basi udikteka ndio huleta demokrasia na kitu kizuri cha kujifunza ni kwamba udikteta unaweza ukanunua demokrasia lakini demokrasia haiwezi kununua udikteta na ndio maana mtu akidai sana demokrasia kuna wakati akishindwa kukubaliana na udikteta anaishia maisha magumu, kuangaika, kuchoka lakini mbaya zaidi ni kama hoja zake hazisikilizwi jambo ambalo hutia hasira.
Na kudai demokrasia ni sawa na mtu maskini anaishauri jamii mbele ya mwenye pesa katika jambo linalohitaji pesa hakika abadani hawezi sikilizwa hata siku moja.
Sasa basi kwa sisi waafrika tubadilishe mfumo badala ya kudai demokrasia tudai maendeleo maana hata kama mtu akiwa dikteta lakini anafanya maendeleo basi inatosha maadamu yeye ni mwanadamu atakufa basi siku akifa maisha yaendelee ila tunahitaji maendeleo ya taifa yanayotoa fursa za maendeleo ya mtu mmoja mmoja
Tuachane na kudai demokrasia hebu tuangalie mambo ya msingi je yanatimizwa mambo mengine yaendelee. Lasivyo tutaongea na tuta tweet lakini wapi maana hoja ya masikini hazisikilizwi, na nikwambie tu kila nchi duniani ina udikteta ndani ambao wenye akili tu ndio wanaoelewa.
Hahahaha
Hii ni kuongeza idadi ya maneno
Udikteta au maendeleo. Na ubaya wa waafrika tunadai demokrasia badala ya kudai maendeleo maana Mimi naamini maendeleo na mabadiliko ya kimaisha yanamfanya mtu kusahau udikteta...Rwanda...
Sasa Basi udikteka ndio huleta demokrasia na kitu kizuri cha kujifunza ni kwamba udikteta unaweza ukanunua demokrasia lakini demokrasia haiwezi kununua udikteta na ndio maana mtu akidai sana demokrasia kuna wakati akishindwa kukubaliana na udikteta anaishia maisha magumu, kuangaika, kuchoka lakini mbaya zaidi ni kama hoja zake hazisikilizwi jambo ambalo hutia hasira.
Na kudai demokrasia ni sawa na mtu maskini anaishauri jamii mbele ya mwenye pesa katika jambo linalohitaji pesa hakika abadani hawezi sikilizwa hata siku moja.
Sasa basi kwa sisi waafrika tubadilishe mfumo badala ya kudai demokrasia tudai maendeleo maana hata kama mtu akiwa dikteta lakini anafanya maendeleo basi inatosha maadamu yeye ni mwanadamu atakufa basi siku akifa maisha yaendelee ila tunahitaji maendeleo ya taifa yanayotoa fursa za maendeleo ya mtu mmoja mmoja
Tuachane na kudai demokrasia hebu tuangalie mambo ya msingi je yanatimizwa mambo mengine yaendelee. Lasivyo tutaongea na tuta tweet lakini wapi maana hoja ya masikini hazisikilizwi, na nikwambie tu kila nchi duniani ina udikteta ndani ambao wenye akili tu ndio wanaoelewa.
Hahahaha
Hii ni kuongeza idadi ya maneno
Upvote
2