Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukielewa kuwa kinyume cha kupata ni kukosa na kuishi ni kufa na mwanzo ni mwisho, hutaogopa wala kujihangaisha na jambo ambalo huwezi kulizuia mwanangu.Sasa mbona tukiuguza wagonjwa wetu siku wanakata roho baadhi yao huhangaika mno na macho yanawatoka mkuu??tena wengine haja ndogo na kubwa huwatoka kabisa..je kwa uelewa wako hii ni dalili nzuri kweli?? Unaenda sehemu yenye amani au furaha ila ni kwa taabu na mateso hivi dahh..haya bana
Heri kuandika ujinga kuliko upumbavu wa kujibu usichosoma wala kuelewa mwanangu.Sijasoma ulichoandika ila naamini umeandika ujinga..
Hata kwenye "Climax kila mmoja Anareact kivyake..Na hakuna maumivu paleSasa mbona tukiuguza wagonjwa wetu siku wanakata roho baadhi yao huhangaika mno na macho yanawatoka mkuu??tena wengine haja ndogo na kubwa huwatoka kabisa..je kwa uelewa wako hii ni dalili nzuri kweli?? Unaenda sehemu yenye amani au furaha ila ni kwa taabu na mateso hivi dahh..haya bana
Jibu safi kabisa, kujibu usichojua kinaeleza nini ni ishara ya upumbavuHeri kuandika ujinga kuliko upumbavu wa kujibu usichosoma wala kuelewa mwanangu.
Si binadamu tu hata wanyama wanapitia hali hiyo ambayo imebase katika sayansi ya asili tofauti na hizo imani za kipuuzi za kidini.Sasa mbona tukiuguza wagonjwa wetu siku wanakata roho baadhi yao huhangaika mno na macho yanawatoka mkuu??tena wengine haja ndogo na kubwa huwatoka kabisa..je kwa uelewa wako hii ni dalili nzuri kweli?? Unaenda sehemu yenye amani au furaha ila ni kwa taabu na mateso hivi dahh..haya bana
Hakuna maumivu wakati wa kukata roho,bali mwenye anakata roho akiwa na akili timamu huangaika kwa hofu ya kuogopa kufa ama kuanza kupoteza pumzi. Hii hauwezi ukaikuta kwa yeyote anae kufa kwa amani ama anaekufa akiwa usingizini mkuu.Sasa mbona tukiuguza wagonjwa wetu siku wanakata roho baadhi yao huhangaika mno na macho yanawatoka mkuu??tena wengine haja ndogo na kubwa huwatoka kabisa..je kwa uelewa wako hii ni dalili nzuri kweli?? Unaenda sehemu yenye amani au furaha ila ni kwa taabu na mateso hivi dahh..haya bana
Kama unaona ujinga kwanini unakoment? hili suala la kutusi mada za watu bila research wala mchango wowote ni utoto wa hali ya juu, nina imani mtu mpaka anaandika na kuweka humu hajakurupuka bali kaandaa mambo ambayo kayafuatilia, sasa wewe ambaye ndie mjinga unawezaje kuhitimisha mada ambayo hujaisoma wala kuelewa zaidi ya kukoment kwa negative review kama hivyo?.Sijasoma ulichoandika ila naamini umeandika ujinga..
Ume bold ili kuwatisha moderators?Dini zimekuwa zikitumia kifo kama dhana ya kutisha toka na ujinga na ujanja ujanja wa kutaka kuwatisha ili kuwatawala na kuwaibia waumini. Mara utaingia motoni, mara peponi. Nani amewahi kwenda kule? Wengine huenda mbali na kuelezea ilivyo pepo au motoni. Yote uongo mtupu. Ni ngano za kutishana ili kunyonyana.
Kama ulivyokuwa hujijui ulipozaliwa, ndivyo itakavyokuwa utakapokufa.
Utarudi kwenye hali uliyokuwa nayo.
Hivyo, hakuna haja ya kutishana au kutishwa na ngano za kijinga za kubuni.
Kifo ni sawa na. hali nyingine za kimaumbile.
Ukiwa hai, jua utakufa.
Ukiwa kijana, jua utazeeka.
Ukiwa mzima, jua utaugua.
Ukiwa na nguvu, jua utakuwa dhaifu.
Ukiwa na furaha, ujue utasikitika.
Ukiwa mgonjwa jua utakuwa au ullikuwa mzima.
Ukikosa, ujue utapata na ukipata, ujue utakosa.
Huwezi kupata au kukosa yote.
Huwezi kujua au kutojua yote.
Ukipenda, jua utachukia.
Ukisifiwa, jua utalaumiwa.
Hii ndiyo asili ya kila kitu.
Kuna uwili hata zaidi.
Bila giza, hakuna mwanga.
Bila ubaya, hakuna uzuri.
Bila utepetevu, hakuna ujabali.
bila njaa, hakuna shibe.
Bila machozi, hakuna kicheko.
Bila maumivu, hakuna nafuu.
Bila umaskini, hakuna utajiri.
Je tajiri hamtegemei maskini?
Je. maskini anamtegemea nani?
Ke na Me hazitegemeani?
Bila hivyo, nani angekuwa hapa?
Hiyo ndiyo busara ya leo.
Binadamu ana mifumo 11 ya kibaiolojia inayoongoza mwili wake. Mojawapo ni mfumo wa fahamu.Sasa mbona tukiuguza wagonjwa wetu siku wanakata roho baadhi yao huhangaika mno na macho yanawatoka mkuu??tena wengine haja ndogo na kubwa huwatoka kabisa..je kwa uelewa wako hii ni dalili nzuri kweli?? Unaenda sehemu yenye amani au furaha ila ni kwa taabu na mateso hivi dahh..haya bana