Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,540
Uchaguzi ujao Rais hatabadilika labda utokee muujiza au kwa mapenzi ya Mungu. Bunge litabadilika sana. Kwangu mimi hii ni hatua kubwa kuelekea kuing'oa CCM madarakani. Tusiiache nafasi hii ipite. Udhaifu wa Rais tulienae kwa sasa ukitumika vizuri mabadiliko yatakuwepo.
Kwa nini tufanye uchaguzi mkuu huku hatuna fedha za kujifanyia uchaguzi?
Kwa nini tufanye uchaguzi ambao utajaa rushwa na takrima na umeshaongeza vitendo vya hujuma na ufisadi?
Kwa nini tuwe na uchaguzi huku tunajua wazi matokeo yatakuwaje kabla hata ya kwenda kupiga kura?
Kwa nini tusiongeze muda tuwape Wabunge na Rais muda wa miaka 10 kabla ya uchaguzi mkuu, ili kuondokana na upuuzi tulioujengea mapambo kwa jina la Demokrasia?
Kwa nini tufanye uchaguzi mkuu huku hatuna fedha za kujifanyia uchaguzi?
Kwa nini tufanye uchaguzi ambao utajaa rushwa na takrima na umeshaongeza vitendo vya hujuma na ufisadi?
Kwa nini tuwe na uchaguzi huku tunajua wazi matokeo yatakuwaje kabla hata ya kwenda kupiga kura?
Kwa nini tusiongeze muda tuwape Wabunge na Rais muda wa miaka 10 kabla ya uchaguzi mkuu, ili kuondokana na upuuzi tulioujengea mapambo kwa jina la Demokrasia?
This discussion might end up being just as useless if we dont recognize the problem at hand. Tatizo sio Uchaguzi, bali ni jinsi uchaguzi unavyoendeshwa. Huwezi kusema tufute uchaguzi. Kuwa na uchaguzi ni essential katika community yeyote. Solution ya tatizo lolote inaanza kwa kuelewa tatizo. Tatizo ni rushwa na takrima. Hili sio tatizo pekee la Tanzania...bali ni tatizo linalosumbua nchi nyingi maskini. The question can be re-phrased to: How do you offer democratic elections to poor people? Sub-questions: Kwa nini mtu anapokea rushwa? Kwa nini bunge letu limeruhusu takrima? Kusema tufute uchaguzi ni kutoelewa maana na kazi ya uchaguzi. Kuelewa hilo inabidi urudi katika basic question la kwa nini tunahitaji serikali/kutawaliwa? Katika jibu lake utakuta basically its for a functionable community. Kwa hiyo kama individuals tuliokuwa forced kuishi pamoja (katika jamii) - lazima tuwe na system ya kuweza kuishi pamoja. Hii ndo basis ya kuwa na serikali/au system fulani ya uongozi. Pia katika jamii yeyote lazima kuwe na conflicts za vision. Mfano mimi nataka kuwe na huduma bure ya afya, wewe unataka huduma bure ya shule. Uchaguzi ndo njia pekee iliyovumbuliwa ya kusaidia ku-solve such a conflict bila kufanya kundi moja lione kuwa limeonewa. Na democracy ni njia inayotumika ku-legitimize the outcome. Watu wengi huwa hawaelewi maana ya demokrasia. Hivyo...kuwa na uchaguzi ni lazima. Swali ni jinsi ya kuboresha huo uchaguzi. Hopefully the discussion will head into this direction, badala kuonyesha kufa moyo na kutaka kuvunja foundations za jamii - yaani kuwa na Uchaguzi wa Viongozi.
Mtoto,
Ikiwa leo hii Chama kilichoko madarakani hakitaki kutoa nafasi sawa hata kurekebisha Katiba ambayo itakuwa shirikishi, je kuna maana gani ya kuwa na uchaguzi na kupoteza fedha?
Ikiwa wawakilishi wa Wananchi wamekaa katika nafasi zao miaka nenda rudi lakini Mtanzania hapigi hatua za maendeleo na haionekani kuwa kuna ulazima wa kumbadilisha Mwakilishi huyo ili kuleta maendeleo na si kubailisha sura tuu, je kuna maana gani ya kufanya uchaguzi?
Ikiwa Serikali na Chama kilichoko madarakani, kimamua kuwa chenyewe ndio mwanzo na mwisho na yeyote atakayekikosoa Chama au Serikali ni msaliti, mhaini hata karibu kuwa gaidi, je kuna maana gani ya kufanya uchaguzi na kutumia pesa nyingi hizo eti kutimililza Katiba na Demokrasia ambayo inashikiliwa Kidikteta?
Kwa nini tufanye uchaguzi mkuu huku hatuna fedha za kujifanyia uchaguzi?
Kwa nini tufanye uchaguzi ambao utajaa rushwa na takrima na umeshaongeza vitendo vya hujuma na ufisadi?
Kwa nini tuwe na uchaguzi huku tunajua wazi matokeo yatakuwaje kabla hata ya kwenda kupiga kura?
Kwa nini tusiongeze muda tuwape Wabunge na Rais muda wa miaka 10 kabla ya uchaguzi mkuu, ili kuondokana na upuuzi tulioujengea mapambo kwa jina la Demokrasia?
Mtoto,
Ikiwa leo hii Chama kilichoko madarakani hakitaki kutoa nafasi sawa hata kurekebisha Katiba ambayo itakuwa shirikishi, je kuna maana gani ya kuwa na uchaguzi na kupoteza fedha?
Ikiwa wawakilishi wa Wananchi wamekaa katika nafasi zao miaka nenda rudi lakini Mtanzania hapigi hatua za maendeleo na haionekani kuwa kuna ulazima wa kumbadilisha Mwakilishi huyo ili kuleta maendeleo na si kubailisha sura tuu, je kuna maana gani ya kufanya uchaguzi?
Ikiwa Serikali na Chama kilichoko madarakani, kimamua kuwa chenyewe ndio mwanzo na mwisho na yeyote atakayekikosoa Chama au Serikali ni msaliti, mhaini hata karibu kuwa gaidi, je kuna maana gani ya kufanya uchaguzi na kutumia pesa nyingi hizo eti kutimililza Katiba na Demokrasia ambayo inashikiliwa Kidikteta?