Hakuna jipya chini ya jua!

Hakuna jipya chini ya jua!

starlightz

Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
44
Reaction score
116
Kiuhalisia kila kitu kinachotendeka katika maisha yakila siku ni marudio ya maisha yaliyopita, na tayari maisha hayo yamehifadhiwa kwenye maandiko mbalimbali, amini usiamini maswali yako yote uliyonayo sasa majibu yake yako kwenye vitabu, hivyo jaribu kuwa rafiki wa vitabu ujionee maajabu.
 
Iphone ni mpya ndugu yangu. Tafuta kwenye hivo vitabu vyako kama utaiona
Iphone, TV, magari, ndege na kila aina ya teknolojia ilikuwepo enzi hizo, tena teknolojia ya kipindi hicho ilikuwa kubwa sana kuliko hata kipindi hiki.

Bara la ANTAKTIKA lilikuwa na baadhi ya ya vitu vifananiavyo na simu, TV, n.k ndipo baada ya USA kufanyia utafiti waliweza kutengeneza vifananiavyo na hivyo na kuboresha vingine.

Kumbuka watu wa kale ndiyo walithubutu kujenga mnara mkubwa wa Babeli hadi kidiriki kutaka kumfikia aliye juu hatimaye walifarakanishwa na lugha kwa kutoelewana kimawasiliano.

Soma kitabu cha Encyclopedia upate maarifa zaidi Chifu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Iphone, TV, magari, ndege na kila aina ya teknolojia ilikuwepo enzi hizo, tena teknolojia ya kipindi hicho ilikuwa kubwa sana kuliko hata kipindi hiki.

Bara la ANTAKTIKA lilikuwa na baadhi ya ya vitu vifananiavyo na simu, TV, n.k ndipo baada ya kufanyia utafiti waliweza kutengeneza vifananiavyo na hivyo na kuboresha vingine.

Soma kitabu cha Encyclopedia upate maarifa zaidi Chifu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tupe ushahidi mkuu...!
 
Sayansi ama technology ya sasa naona inatuficha vitu vingi pia inatufanya kua na interest ya vitu ambavyo ni miner kuliko vitu muhimu, ukifuatilia sayansi na technology za zamani nyingi ni advanced kiasi kwamba hata hawa wanasayansi na technology tunao waona advanced wenyewe wanashangaa kua iliwezekana vipi ilihali hata wapo pamoja na maendeleo yote bado wana shindwa kung'amua codes ndogondogo
 
Sayansi ama technology ya sasa naona inatuficha vitu vingi pia inatufanya kua na interest ya vitu ambavyo ni miner kuliko vitu muhimu, ukifuatilia sayansi na technology za zamani nyingi ni advanced kiasi kwamba hata hawa wanasayansi na technology tunao waona advanced wenyewe wanashangaa kua iliwezekana vipi ilihali hata wapo pamoja na maendeleo yote bado wana shindwa kung'amua codes ndogondogo
𝐇𝐚𝐩𝐚 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐮𝐡𝐚𝐥𝐢𝐬𝐢𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐭𝐮 𝐡𝐮𝐚 𝐧𝐚𝐣𝐢𝐮𝐥𝐢𝐳𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐡𝐢𝐯𝐢 𝐡𝐚𝐨 𝐰𝐚𝐠𝐮𝐧𝐝𝐮𝐳𝐢 𝐚𝐮 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐬𝐚𝐲𝐚𝐧𝐬𝐢 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐥𝐞𝐨 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐟𝐨𝐫𝐦𝐮𝐥𝐚 𝐳𝐚𝐨 𝐣𝐞 𝐰𝐚𝐤𝐢𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐦𝐛𝐢𝐧𝐮 𝐳𝐢𝐩𝐢 𝐤𝐮𝐯𝐮𝐦𝐛𝐮𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐬𝐚𝐲𝐚𝐧𝐬𝐢 𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐦𝐛𝐨𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐮𝐝𝐢𝐨 𝐭𝐮 𝐲𝐚 𝐰𝐞𝐧𝐳𝐚𝐨?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
𝐇𝐚𝐩𝐚 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐮𝐡𝐚𝐥𝐢𝐬𝐢𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐭𝐮 𝐡𝐮𝐚 𝐧𝐚𝐣𝐢𝐮𝐥𝐢𝐳𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐡𝐢𝐯𝐢 𝐡𝐚𝐨 𝐰𝐚𝐠𝐮𝐧𝐝𝐮𝐳𝐢 𝐚𝐮 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐬𝐚𝐲𝐚𝐧𝐬𝐢 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐥𝐞𝐨 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐟𝐨𝐫𝐦𝐮𝐥𝐚 𝐳𝐚𝐨 𝐣𝐞 𝐰𝐚𝐤𝐢𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐦𝐛𝐢𝐧𝐮 𝐳𝐢𝐩𝐢 𝐤𝐮𝐯𝐮𝐦𝐛𝐮𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐬𝐚𝐲𝐚𝐧𝐬𝐢 𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐦𝐛𝐨𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐮𝐝𝐢𝐨 𝐭𝐮 𝐲𝐚 𝐰𝐞𝐧𝐳𝐚𝐨?

Sent using Jamii Forums mobile app
Imagin na marudio yenyewe mengine yanawapiga chenga! Kwanza ni machache ambayo wameweza kuyaelewa na kuya develop mengenine wamevumbua kwa kufuata procedure zilezile, mengi bado ni mystries mbali na kuelewa kua vina maana gani ila vingine hawavielewi kabisaa wanasubiri muda pengine kuna dots zinaweza kuja kutokea zikawapeleka kwenye vumbuzi hiz. Mengi ni maboresho tu ya yaleyale ya zamani
 
Imagin na marudio yenyewe mengine yanawapiga chenga! Kwanza ni machache ambayo wameweza kuyaelewa na kuya develop mengenine wamevumbua kwa kufuata procedure zilezile, mengi bado ni mystries mbali na kuelewa kua vina maana gani ila vingine hawavielewi kabisaa wanasubiri muda pengine kuna dots zinaweza kuja kutokea zikawapeleka kwenye vumbuzi hiz. Mengi ni maboresho tu ya yaleyale ya zamani
𝑾𝒂𝒛𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒘𝒂𝒏𝒂 𝒔𝒊𝒓𝒊 𝒌𝒖𝒃𝒘𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒊𝒋𝒖𝒂 𝒘𝒂𝒌𝒊𝒋𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒕𝒖 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒕𝒖𝒑𝒆𝒍𝒆𝒍𝒆𝒛𝒂 𝒊𝒍𝒊 𝒘𝒂𝒌𝒂𝒇𝒂𝒏𝒚𝒆 𝒚𝒂𝒐 𝒘𝒂𝒃𝒂𝒌𝒊 𝒌𝒖𝒂 𝒋𝒖𝒖 𝒌𝒊𝒍𝒂 𝒔𝒊𝒌𝒖.𝑰𝒎𝒂𝒈𝒊𝒏𝒆 𝑨𝒇𝒓𝒊𝒄𝒂 𝒉𝒂𝒔𝒂 𝒏𝒄𝒉𝒊 𝒚𝒆𝒕𝒖 𝒊𝒏𝒂 𝒌𝒊𝒍𝒂 𝒂𝒊𝒏𝒂 𝒚𝒂 𝒎𝒂𝒅𝒊𝒏𝒊 𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒆𝒄𝒉𝒏𝒐𝒍𝒐𝒈𝒚 𝒚𝒂 𝒖𝒄𝒉𝒊𝒎𝒃𝒂𝒋𝒊 𝒎𝒑𝒂𝒌𝒂 𝒕𝒖𝒘𝒂𝒊𝒕𝒆 𝒘𝒂𝒐 𝒊𝒏𝒂𝒔𝒊𝒌𝒊𝒕𝒊𝒔𝒉𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂 .𝑯𝒊𝒊 𝑬𝒍𝒊𝒎𝒖 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒚𝒐𝒊𝒔𝒐𝒎𝒂 𝒊𝒏𝒂𝒃𝒊𝒅𝒊 𝒊𝒇𝒂𝒏𝒚𝒊𝒘𝒆 𝒖𝒕𝒂𝒇𝒊𝒕𝒊 𝒋𝒆 𝒏𝒊 𝒊𝒍𝒆 𝒘𝒂𝒍𝒊𝒐𝒌𝒖𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒊𝒔𝒐𝒎𝒂 𝒂𝒌𝒊𝒏𝒂 𝑵𝒆𝒘𝒕𝒐𝒏, 𝑴𝒊𝒄𝒉𝒂𝒆𝒍 𝑭𝒂𝒓𝒂𝒅𝒂𝒚 𝒏.𝒌.𝑻𝒖𝒑𝒐 𝒛𝒂𝒎𝒂 𝒛𝒂 𝒕𝒆𝒄𝒉𝒏𝒐𝒍𝒐𝒈𝒚 𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒆𝒄𝒉𝒏𝒐𝒈𝒚 𝒚𝒆𝒏𝒚𝒆𝒘𝒆 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒊𝒈𝒂 𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 𝒉𝒖𝒌𝒐 𝒌𝒘𝒂 𝒘𝒆𝒏𝒛𝒆𝒕𝒖.𝑻𝒖𝒏𝒂𝒇𝒆𝒍𝒊 𝒘𝒂𝒑𝒊 𝒏𝒂𝒔𝒊 𝒕𝒖𝒘𝒆 𝒏𝒂𝒛𝒐 𝒉𝒊𝒛𝒐 𝒕𝒆𝒄𝒉𝒏𝒐𝒍𝒐𝒈𝒚?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
𝑾𝒂𝒛𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒘𝒂𝒏𝒂 𝒔𝒊𝒓𝒊 𝒌𝒖𝒃𝒘𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒊𝒋𝒖𝒂 𝒘𝒂𝒌𝒊𝒋𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒕𝒖 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒕𝒖𝒑𝒆𝒍𝒆𝒍𝒆𝒛𝒂 𝒊𝒍𝒊 𝒘𝒂𝒌𝒂𝒇𝒂𝒏𝒚𝒆 𝒚𝒂𝒐 𝒘𝒂𝒃𝒂𝒌𝒊 𝒌𝒖𝒂 𝒋𝒖𝒖 𝒌𝒊𝒍𝒂 𝒔𝒊𝒌𝒖.𝑰𝒎𝒂𝒈𝒊𝒏𝒆 𝑨𝒇𝒓𝒊𝒄𝒂 𝒉𝒂𝒔𝒂 𝒏𝒄𝒉𝒊 𝒚𝒆𝒕𝒖 𝒊𝒏𝒂 𝒌𝒊𝒍𝒂 𝒂𝒊𝒏𝒂 𝒚𝒂 𝒎𝒂𝒅𝒊𝒏𝒊 𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒆𝒄𝒉𝒏𝒐𝒍𝒐𝒈𝒚 𝒚𝒂 𝒖𝒄𝒉𝒊𝒎𝒃𝒂𝒋𝒊 𝒎𝒑𝒂𝒌𝒂 𝒕𝒖𝒘𝒂𝒊𝒕𝒆 𝒘𝒂𝒐 𝒊𝒏𝒂𝒔𝒊𝒌𝒊𝒕𝒊𝒔𝒉𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂 .𝑯𝒊𝒊 𝑬𝒍𝒊𝒎𝒖 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒚𝒐𝒊𝒔𝒐𝒎𝒂 𝒊𝒏𝒂𝒃𝒊𝒅𝒊 𝒊𝒇𝒂𝒏𝒚𝒊𝒘𝒆 𝒖𝒕𝒂𝒇𝒊𝒕𝒊 𝒋𝒆 𝒏𝒊 𝒊𝒍𝒆 𝒘𝒂𝒍𝒊𝒐𝒌𝒖𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒊𝒔𝒐𝒎𝒂 𝒂𝒌𝒊𝒏𝒂 𝑵𝒆𝒘𝒕𝒐𝒏, 𝑴𝒊𝒄𝒉𝒂𝒆𝒍 𝑭𝒂𝒓𝒂𝒅𝒂𝒚 𝒏.𝒌.𝑻𝒖𝒑𝒐 𝒛𝒂𝒎𝒂 𝒛𝒂 𝒕𝒆𝒄𝒉𝒏𝒐𝒍𝒐𝒈𝒚 𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒆𝒄𝒉𝒏𝒐𝒈𝒚 𝒚𝒆𝒏𝒚𝒆𝒘𝒆 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒊𝒈𝒂 𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 𝒉𝒖𝒌𝒐 𝒌𝒘𝒂 𝒘𝒆𝒏𝒛𝒆𝒕𝒖.𝑻𝒖𝒏𝒂𝒇𝒆𝒍𝒊 𝒘𝒂𝒑𝒊 𝒏𝒂𝒔𝒊 𝒕𝒖𝒘𝒆 𝒏𝒂𝒛𝒐 𝒉𝒊𝒛𝒐 𝒕𝒆𝒄𝒉𝒏𝒐𝒍𝒐𝒈𝒚?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa system zetu za elimu hazitu shawishi kupenda kusoma yana wameifanya shule kua kama kituo cha polise ni mwendo wa kukariri tu si lazima uelewa! Jibu lazima liwe lile lile alilo kumezesha mwalimu na sio ulivyo elewa yaani wewe hata kama huelewi we kariri tu, mwisho wasiku unatoka na cheti huku hujui ukakifanyie nini! Na vitu vingi vipo written na asilimia kubwa atupendi kusoma ndipo tunapo pishana navyo! Mtoto wa miaka 20 kwao si ajabu unamkuta na mastarz au PHD na ni mkurugenzi ambapo level hiyo ss kwetu inakukuta kipara kisha ota una watoto wa5 una madeni benki, umepanga na unakesi mbili za uhujumu uchumi!

Unakuta mtu anauwezo wa kutengeneza silaha unaenda kumficha badala ya kumuendeleza, mtu ana utaalam wa milipuko unaenda kumficha, watu walisha tengeneza mpaka helcopter wapo tu wanakunywa pombe chafu, redio stations wapo wengi, umeme wa upepo wapo kibao lakini hawaruhusiwi kuusambaza hata kwenye kibanda anacholala afaidi ujuzi wake, hizi bombe viwanda bubu kibao, sigara watu wanazifyatulia sebuleni, basi kila mtu anakufa na utamu wake
 
Kwanza kabisa system zetu za elimu hazitu shawishi kupenda kusoma yana wameifanya shule kua kama kituo cha polise ni mwendo wa kukariri tu si lazima uelewa! Jibu lazima liwe lile lile alilo kumezesha mwalimu na sio ulivyo elewa yaani wewe hata kama huelewi we kariri tu, mwisho wasiku unatoka na cheti huku hujui ukakifanyie nini! Na vitu vingi vipo written na asilimia kubwa atupendi kusoma ndipo tunapo pishana navyo! Mtoto wa miaka 20 kwao si ajabu unamkuta na mastarz au PHD na ni mkurugenzi ambapo level hiyo ss kwetu inakukuta kipara kisha ota una watoto wa5 una madeni benki, umepanga na unakesi mbili za uhujumu uchumi!

Unakuta mtu anauwezo wa kutengeneza silaha unaenda kumficha badala ya kumuendeleza, mtu ana utaalam wa milipuko unaenda kumficha, watu walisha tengeneza mpaka helcopter wapo tu wanakunywa pombe chafu, redio stations wapo wengi, umeme wa upepo wapo kibao lakini hawaruhusiwi kuusambaza hata kwenye kibanda anacholala afaidi ujuzi wake, hizi bombe viwanda bubu kibao, sigara watu wanazifyatulia sebuleni, basi kila mtu anakufa na utamu wake
𝐈𝐧𝐚𝐬𝐢𝐤𝐢𝐭𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐦𝐧𝐨

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom