Hakuna jipya chini ya jua!

starlightz

Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
44
Reaction score
116
Kiuhalisia kila kitu kinachotendeka katika maisha yakila siku ni marudio ya maisha yaliyopita, na tayari maisha hayo yamehifadhiwa kwenye maandiko mbalimbali, amini usiamini maswali yako yote uliyonayo sasa majibu yake yako kwenye vitabu, hivyo jaribu kuwa rafiki wa vitabu ujionee maajabu.
 
Iphone ni mpya ndugu yangu. Tafuta kwenye hivo vitabu vyako kama utaiona
Iphone, TV, magari, ndege na kila aina ya teknolojia ilikuwepo enzi hizo, tena teknolojia ya kipindi hicho ilikuwa kubwa sana kuliko hata kipindi hiki.

Bara la ANTAKTIKA lilikuwa na baadhi ya ya vitu vifananiavyo na simu, TV, n.k ndipo baada ya USA kufanyia utafiti waliweza kutengeneza vifananiavyo na hivyo na kuboresha vingine.

Kumbuka watu wa kale ndiyo walithubutu kujenga mnara mkubwa wa Babeli hadi kidiriki kutaka kumfikia aliye juu hatimaye walifarakanishwa na lugha kwa kutoelewana kimawasiliano.

Soma kitabu cha Encyclopedia upate maarifa zaidi Chifu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tupe ushahidi mkuu...!
 
Sayansi ama technology ya sasa naona inatuficha vitu vingi pia inatufanya kua na interest ya vitu ambavyo ni miner kuliko vitu muhimu, ukifuatilia sayansi na technology za zamani nyingi ni advanced kiasi kwamba hata hawa wanasayansi na technology tunao waona advanced wenyewe wanashangaa kua iliwezekana vipi ilihali hata wapo pamoja na maendeleo yote bado wana shindwa kung'amua codes ndogondogo
 
๐‡๐š๐ฉ๐š ๐ง๐ข๐ฆ๐ž๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ข๐š ๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐ฏ๐ข๐ญ๐ฎ ๐ก๐ฎ๐š ๐ง๐š๐ฃ๐ข๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐ก๐ข๐ฏ๐ข ๐ก๐š๐จ ๐ฐ๐š๐ ๐ฎ๐ง๐๐ฎ๐ณ๐ข ๐š๐ฎ ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฌ๐š๐ฒ๐š๐ง๐ฌ๐ข ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐ฅ๐ž๐จ ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ๐ฎ๐ฅ๐š ๐ณ๐š๐จ ๐ฃ๐ž ๐ฐ๐š๐ค๐ข๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐ฆ๐›๐ข๐ง๐ฎ ๐ณ๐ข๐ฉ๐ข ๐ค๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฆ๐›๐ฎ๐š ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฌ๐š๐ฒ๐š๐ง๐ฌ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฌ๐š๐ฌ๐š ๐ฆ๐›๐จ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฆ๐š๐ซ๐ฎ๐๐ข๐จ ๐ญ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ฐ๐ž๐ง๐ณ๐š๐จ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imagin na marudio yenyewe mengine yanawapiga chenga! Kwanza ni machache ambayo wameweza kuyaelewa na kuya develop mengenine wamevumbua kwa kufuata procedure zilezile, mengi bado ni mystries mbali na kuelewa kua vina maana gani ila vingine hawavielewi kabisaa wanasubiri muda pengine kuna dots zinaweza kuja kutokea zikawapeleka kwenye vumbuzi hiz. Mengi ni maboresho tu ya yaleyale ya zamani
 
๐‘พ๐’‚๐’›๐’–๐’๐’ˆ๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐’”๐’Š๐’“๐’Š ๐’Œ๐’–๐’ƒ๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Š๐’‹๐’–๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’Š๐’‹๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’†๐’•๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’•๐’–๐’‘๐’†๐’๐’†๐’๐’†๐’›๐’‚ ๐’Š๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’‚๐’‡๐’‚๐’๐’š๐’† ๐’š๐’‚๐’ ๐’˜๐’‚๐’ƒ๐’‚๐’Œ๐’Š ๐’Œ๐’–๐’‚ ๐’‹๐’–๐’– ๐’Œ๐’Š๐’๐’‚ ๐’”๐’Š๐’Œ๐’–.๐‘ฐ๐’Ž๐’‚๐’ˆ๐’Š๐’๐’† ๐‘จ๐’‡๐’“๐’Š๐’„๐’‚ ๐’‰๐’‚๐’”๐’‚ ๐’๐’„๐’‰๐’Š ๐’š๐’†๐’•๐’– ๐’Š๐’๐’‚ ๐’Œ๐’Š๐’๐’‚ ๐’‚๐’Š๐’๐’‚ ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’…๐’Š๐’๐’Š ๐’๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’Š ๐’•๐’†๐’„๐’‰๐’๐’๐’๐’๐’ˆ๐’š ๐’š๐’‚ ๐’–๐’„๐’‰๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’‚๐’‹๐’Š ๐’Ž๐’‘๐’‚๐’Œ๐’‚ ๐’•๐’–๐’˜๐’‚๐’Š๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’ ๐’Š๐’๐’‚๐’”๐’Š๐’Œ๐’Š๐’•๐’Š๐’”๐’‰๐’‚ ๐’”๐’‚๐’๐’‚ .๐‘ฏ๐’Š๐’Š ๐‘ฌ๐’๐’Š๐’Ž๐’– ๐’•๐’–๐’๐’‚๐’š๐’๐’Š๐’”๐’๐’Ž๐’‚ ๐’Š๐’๐’‚๐’ƒ๐’Š๐’…๐’Š ๐’Š๐’‡๐’‚๐’๐’š๐’Š๐’˜๐’† ๐’–๐’•๐’‚๐’‡๐’Š๐’•๐’Š ๐’‹๐’† ๐’๐’Š ๐’Š๐’๐’† ๐’˜๐’‚๐’๐’Š๐’๐’Œ๐’–๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Š๐’”๐’๐’Ž๐’‚ ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’‚ ๐‘ต๐’†๐’˜๐’•๐’๐’, ๐‘ด๐’Š๐’„๐’‰๐’‚๐’†๐’ ๐‘ญ๐’‚๐’“๐’‚๐’…๐’‚๐’š ๐’.๐’Œ.๐‘ป๐’–๐’‘๐’ ๐’›๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’›๐’‚ ๐’•๐’†๐’„๐’‰๐’๐’๐’๐’๐’ˆ๐’š ๐’๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’Š ๐’•๐’†๐’„๐’‰๐’๐’๐’ˆ๐’š ๐’š๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’† ๐’•๐’–๐’๐’‚๐’Š๐’Š๐’ˆ๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’•๐’๐’Œ๐’‚ ๐’‰๐’–๐’Œ๐’ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’†๐’๐’›๐’†๐’•๐’–.๐‘ป๐’–๐’๐’‚๐’‡๐’†๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’‘๐’Š ๐’๐’‚๐’”๐’Š ๐’•๐’–๐’˜๐’† ๐’๐’‚๐’›๐’ ๐’‰๐’Š๐’›๐’ ๐’•๐’†๐’„๐’‰๐’๐’๐’๐’๐’ˆ๐’š?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa system zetu za elimu hazitu shawishi kupenda kusoma yana wameifanya shule kua kama kituo cha polise ni mwendo wa kukariri tu si lazima uelewa! Jibu lazima liwe lile lile alilo kumezesha mwalimu na sio ulivyo elewa yaani wewe hata kama huelewi we kariri tu, mwisho wasiku unatoka na cheti huku hujui ukakifanyie nini! Na vitu vingi vipo written na asilimia kubwa atupendi kusoma ndipo tunapo pishana navyo! Mtoto wa miaka 20 kwao si ajabu unamkuta na mastarz au PHD na ni mkurugenzi ambapo level hiyo ss kwetu inakukuta kipara kisha ota una watoto wa5 una madeni benki, umepanga na unakesi mbili za uhujumu uchumi!

Unakuta mtu anauwezo wa kutengeneza silaha unaenda kumficha badala ya kumuendeleza, mtu ana utaalam wa milipuko unaenda kumficha, watu walisha tengeneza mpaka helcopter wapo tu wanakunywa pombe chafu, redio stations wapo wengi, umeme wa upepo wapo kibao lakini hawaruhusiwi kuusambaza hata kwenye kibanda anacholala afaidi ujuzi wake, hizi bombe viwanda bubu kibao, sigara watu wanazifyatulia sebuleni, basi kila mtu anakufa na utamu wake
 
๐ˆ๐ง๐š๐ฌ๐ข๐ค๐ข๐ญ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ฆ๐ง๐จ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ