Mr Alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 273
- 765
Kabla ya CHIEF GODLOVE Kutamba Mitandaoni Kulikuwa na Mwamba Mmoja Aitwaje BILLIONAIRE SHILLAH (Nadhani Huyu Hata Watoto wa Elfu 2 Wanamjua), Huyo SHILLAH Alituaminisha kwamba Yeye ni Miongoni mwa Vijana Matajiri Zaidi hapa Tanzania.
SHILLAH Alitembea na Misafara ya Magari Barabarani, Aligawa Pesa Kama "Njugu", Huku Akiwahimiza Vijana Wafate Mfano Wake Jinsi Anavyoishi Maisha ya Kifahari Angali Bado Kijana Mdogo Kabisa.
Hata Hivyo SHILLAH Alikumbwa na Tuhuma Mbalimbali za Utapeli Lakini Alizikanusha na Kusema Kwamba Yeye ni Mtumishi wa MUNGU na Hizo ni Hila tu za Watu Wanaomuonea "Donge".
Lakini Cha Kushangaza SHILLAH Alipotea Ghafla Kwenye Ramani na Mpaka Sasa Hatujui Yuko Wapi na Anafanyanini Ukizingatia Ilikuwa Sio Kawaida yake Kukaa Kimya Hata Siku Mbili Bila Kutrend Mitandaoni.
N:B "HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA, KILA LINALOFANΥΙΚΑ LEO LILISHAFANYWA HUKO NYUMA" Ni Vile tu Watu Wanasahau Mapema.
SHILLAH Alitembea na Misafara ya Magari Barabarani, Aligawa Pesa Kama "Njugu", Huku Akiwahimiza Vijana Wafate Mfano Wake Jinsi Anavyoishi Maisha ya Kifahari Angali Bado Kijana Mdogo Kabisa.
Hata Hivyo SHILLAH Alikumbwa na Tuhuma Mbalimbali za Utapeli Lakini Alizikanusha na Kusema Kwamba Yeye ni Mtumishi wa MUNGU na Hizo ni Hila tu za Watu Wanaomuonea "Donge".
Lakini Cha Kushangaza SHILLAH Alipotea Ghafla Kwenye Ramani na Mpaka Sasa Hatujui Yuko Wapi na Anafanyanini Ukizingatia Ilikuwa Sio Kawaida yake Kukaa Kimya Hata Siku Mbili Bila Kutrend Mitandaoni.
N:B "HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA, KILA LINALOFANΥΙΚΑ LEO LILISHAFANYWA HUKO NYUMA" Ni Vile tu Watu Wanasahau Mapema.