Hakuna jipya heslb!!!

Ibrashinto

Senior Member
Joined
Jul 3, 2012
Posts
123
Reaction score
6
Nilikuwa nakesha kwenye website yao lakini sasa hata naingia mala mbili tu kwa siku kabla sijalala na kabla sijatoka kitandani hii inatokana na kuzorota kwa website hii kutokuona HABARI MPYA HASWA NINAZOTEGEMEA KUZIONA hakuna jipya kabisaaaa toka mwezi uanze ni wiki sasa na huu ni mwezi wa kufungua vyuo baadhi ya wanachuo watarajiwa! Eebwa Mungu baba wa majeshi watie mioyo ya huruma hawa Heslb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…