Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo wako bize na jezi...Tukusaidieje ndugu Utopolo [emoji196][emoji196]
We dont give a shit...Hakika alichofanya vunja bei ni zaidi ya uhuni kwenye jezi mpya za simba, ubunifu zero alichofanya kachukua jezi ya timu ya taifa ya Tunisia ya mwaka 2019 kisha kaongeza yale makorokoro .
Na leo wametutambulishia kuwa ni uzi mpya wa simba ajabu kweli
View attachment 1922958
View attachment 1922959
View attachment 1922961
Leo naenda pata piece tano tatu zangu na mbili za female cut za beibi..Pole mleta mada najua umeumizwa na vibe la mapokezi ya Simba mitaani.
Utopolo wako bize na jezi...
Mnyama haangalii jezi ikoje, anaangalia matokeo uwanjani...
Tatizo nchi yetu hatuthamini designing hili ni kosa kubwa tunafanya.
Wanatafuta kuequalize na mijezi yao yenye misukule ila hawawezi. Jezi lao la misukule watakua nalo kwa mwaka mzima na Bado itafikia sehemu wataona aibu wenyewe kuyavaa.
Vunjabei kaweka kitu sio mchezo.
Kwa hiyo kama Duniani kuna Clubs 10Mil labda ulitaka kuwe na jezi tofauti hizo 10mil zisifanane hata ukola?Hakika alichofanya vunja bei ni zaidi ya uhuni kwenye jezi mpya za simba, ubunifu zero alichofanya kachukua jezi ya timu ya taifa ya Tunisia ya mwaka 2019 kisha kaongeza yale makorokoro .
Na leo wametutambulishia kuwa ni uzi mpya wa simba ajabu kweli
View attachment 1922958
View attachment 1922959
View attachment 1922961
Simba ni litimu likubwa sanaNa uzuri na Jezi yenyewe inauzika hasa,nimetuma kijana aende Vunjabei Sinza kuchukua ile nyeupe Polo na ya kawaida na Dark blue amekosa,akaenda K.Koo kwa Sunderland,akachemka.Anasema wanaochukua kwa jumla ni wengi mno,hadi wameamua kuwahudumia kwanza hao.Pale Sinza wamesema leo zitapatikana tena.