mada zinarudiwa rudiwa...visa vinafanana...visa vya kizushi zushi...uongo ambao hata kwa kupapasa tu unajua hamna kitu hapa!...kiufupi sioni jipya!
ombi langu:watu wenye mambo ya ukweli...na visa vya kujenga au hata kuburudisha wajipange watuletee humu na sio unafanya mapenzi na demu wako jana...ukiamka asubuhi unaweka kama post humu...mpsxxxx!