Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Kijana naomba ka+nye ukalale..ndio wale wale wa
mnataka source? Vuteni subira punde si punde wataweka kwenye tovuti yao, pia kesho tazameni runinga zenu na sikilizeni redio zenu.
matusi ya nini? Kukaa kimya umeshindwa?! Nshawahi kupost habari ya uongo? Nshawahi kutukana mtu? Basi umeniudhi sana, ngoja nianze kutukana kwa kukutukana wewe 'PUMBAAAVUUU'
wewe ni mjeda au...??
kama mada inavyojieleza, hakuna awamu ya tatu kwa mwaka huu, kilichotokea ni tatizo la kiufundi, taarifa hizo zilikuwepo tangu mwezi wa saba.
kama mada inavyojieleza, hakuna awamu ya tatu kwa mwaka huu, kilichotokea ni tatizo la kiufundi, taarifa hizo zilikuwepo tangu mwezi wa saba.
Hii inaweza kuwa kweli, achana na wajinga wanaokurupuka na kutukana, Logically i see the truth in your post, Yaani kama mtu akifuatilia kwa makini atagundua chuo ni kama kawaida, Kwanza wale wabishi kama SAUT ambao wamefungua na wanajua watu bado wapo jkt, unadhani watakubali kufunga chuo.. Pia vyuo vingine kama Udsm vinachukua wanafunzi wengi kutoka nchi za njee na sio tu form six, how will they stop them due to a small reason of going jkt
Mwana,yaani we ni GREATER THINKER.Chuo ni kama kawa october.Pia inasemekana hata zamani wakati JKT haijafutwa ratiba za vyuo zilikuwa zinaendelea kama kawaida na JKT kama kawaida,so wale waliokuwa wakipata post za chuo walikuwa wakikatiza mafunzo ya JKT na kuripoti vyuoni.
c hamin.
Wataenda wa udom,Tia na vijikoleji msheeenzi cye wa udsm,sua,mzumbe,muhas wa2ache 2fanye ye2 2jekulitafuna vyema hili taifa la wadanganyka.. Ila na Vilaza wa Duce na Muce waende 2...nimemalizaa yaaani ctaki kubshana yaani Udsm tisha sana yaani.