Sasa wewe upo buza unakataa wao wanakubali siumechanganyikiwa weweHakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu
Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel
Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na mashambulizi ya Iran ili waweze kutudanganya tena kuwa ni 99.9 intercepted wazee wa kuficha madhara
Hii kweli Israel walitangazaHakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu
Hii vyombo gani vya Israel vimetangaza na source yao ni ipi. Jeshi au serikali imetoa madai hayo?Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel
Taarifa rasmi ya jiji la Haifa kuweka katazo hilo iko wapi.Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na mashambulizi ya Iran ili waweze kutudanganya tena kuwa ni 99.9 intercepted wazee wa kuficha madhara
Kiongozi kweli unamfahamu mtoa mada...nimemuacha sasahivi kwa mama muuza anashindilia utumbo wa kukuSasa wewe upo buza unakataa wao wanakubali siumechanganyikiwa wewe
Huko wameua kiongozi wa hamas ndani ya Iran chini ya ulinzi mkali halafu unaleta ngonjera, akili hakuna kabisa, tunaiomba Iran aachane na vita ili ajenge uchumi wake.Hakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu
Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel
Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na mashambulizi ya Iran ili waweze kutudanganya tena kuwa ni 99.9 intercepted wazee wa kuficha madhara
Usitoke kando ya radio yakoHakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu
Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel
Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na mashambulizi ya Iran ili waweze kutudanganya tena kuwa ni 99.9 intercepted wazee wa kuficha madhara
Kwahiyo Haniye bado yuko hai? Ahahahahaha!!!Hakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu
Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel
Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na mashambulizi ya Iran ili waweze kutudanganya tena kuwa ni 99.9 intercepted wazee wa kuficha madhara
Dogo unaandika kama vile kufiia Gaza ni sifa. Acheni vita hamuwawezi wazayuniHakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu
Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel
Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na mashambulizi ya Iran ili waweze kutudanganya tena kuwa ni 99.9 intercepted wazee wa kuficha madhara
Hakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu
Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel
Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na mashambulizi ya Iran ili waweze kutudanganya tena kuwa ni 99.9 intercepted wazee wa kuficha madhara