Hakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza wala Syria

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Hakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu

Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel

Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na mashambulizi ya Iran ili waweze kutudanganya tena kuwa ni 99.9 intercepted wazee wa kuficha madhara
 
Sasa wewe upo buza unakataa wao wanakubali siumechanganyikiwa wewe
 
Hakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu
Hii kweli Israel walitangaza
Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel
Hii vyombo gani vya Israel vimetangaza na source yao ni ipi. Jeshi au serikali imetoa madai hayo?
Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na mashambulizi ya Iran ili waweze kutudanganya tena kuwa ni 99.9 intercepted wazee wa kuficha madhara
Taarifa rasmi ya jiji la Haifa kuweka katazo hilo iko wapi.
 
Huko wameua kiongozi wa hamas ndani ya Iran chini ya ulinzi mkali halafu unaleta ngonjera, akili hakuna kabisa, tunaiomba Iran aachane na vita ili ajenge uchumi wake.
 
Lakini inapendeza sana kama hiyo taarifa ungeleta na link au pichahili tupate kujua hizo propaganda kiundani zaidi
 
Usitoke kando ya radio yako.
Usitoke kando ya radio yako
 
Kwahiyo Haniye bado yuko hai? Ahahahahaha!!!
 
Dogo unaandika kama vile kufiia Gaza ni sifa. Acheni vita hamuwawezi wazayuni
 

BANGI NI MBAYA KUVUTWA MTU AKIWA NA NJAA NA AKIWA HANA ELIMU. KISHA AKAWA AMEKUNYWA GONGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…