Hakuna kanuni ya kufanikiwa, ni mipango yako tu

Jiwe limerushwa gizani, tunasubilia sauti tu.😃😄
chief, humu kuna watu naona wanajimwambafy kwenye comment kuwaambia wengine ni maskini au awatafute.. wakati wote tuko nyuma ya keyboard hakuna anaejua maisha ya mwenzake
 
Ujue kila jamii inatafsiri ya peke yake ya mafanikio.

Wengine huona kumiliki nyumba ndio alama kuu ya kufanikiwa kuna wenzako wanaona kununua ndinga ndio alama kuu ya mafanikio.
 
chief, humu kuna watu naona wanajimwambafy kwenye comment kuwaambia wengine ni maskini au awatafute.. wakati wote tuko nyuma ya keyboard hakuna anaejua maisha ya mwenzake
Mkuu,usikute hao wanaotukana hata bando tu lenyewe kapewa,hayo ndio maisha ya mtandaoni😀😀,kila mtu ana gari nzuri,nyumba,biashara na mke mzuri.Asante
 
Njia rahisi ya kufanikiwa kuliko zote ni kuiga, ukiboresha unaongeza chance ya kufanikiwa zaidi
 
Noma sana.........
 
Jinsi ya kutafuta hela
 
Ila usicheze mbali na ulimwengu wa roho
Good. Umenena vema mkuu, siyo wote wakaokuelewa maana wapo waliofanikiwa ila mpaka sasa hawajatambua mchango wa ulimwengu wa kiroho mpaka kufika hapo walipo.

Wengi wasioelewa huwa wanaamini mafanikio ni bahati!

Mafanikio unayatengeneza mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…