Hakuna kipindi chenye ulazima wa kuvaa condom kama sasa, Baada ya msaada wa ARV kusitishwa tutegemee maambukizi kwa kasi ya radi

Hakuna kipindi chenye ulazima wa kuvaa condom kama sasa, Baada ya msaada wa ARV kusitishwa tutegemee maambukizi kwa kasi ya radi

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Dawa za ARV zimekuwa na msaada mkubwa sana kuzuia maambukizi pale waathirika wanapokutana kimwili na ambao hawajaathirika.

Imefikia kipindi mtu anaweza kutembea peku na idadi kubwa lakini akipima kasalimika, mshukuru sana hizo ARV.

Baada ya misaada kusitishwa nchi za Afrika nyingi zipo katika hali mbaya kwasababu hakukuwa na mipango ya kuja kujitegemea, misaada inaonekana kama ni haki, viongozi wamehamisha lawama kwa Trump bila kuwa na chembe ya aibu kwa nchi zao kusaidiwa misaada mingi miaka mingi ila hadi leo tunategemea dawa.

So kinachoenda kutokea kukiwa hakuna upatikanaji rahisi wa dawa za ARV, kinga za waathirika zitashuka na wakikutana kimwili na wenzao ambao hawajaarhirika kutakuwa na maambukizi.

Kwa hali hii tutegemee watu wengi zaidi kuungwa kwenye gridi

Tunaweza kurudi enzi za miaka ya 2000, waliokuwepo enzi hizo wanajua.
 
Amka usijejikojolea kitandani, mzigo umeshaachiwa uko
kanyaga twende

Kanyaga twende atokee mwendawazimu mwengine kumzidi Trump akate misaada uone balaa lake.
 
Ila sisi Waafrika tufike mahali tuwe na aibu kidogo,ngono zembe tufanye wenyewe raha tupate wenyewe dawa atuletee mzungu.....kweli???

Hizo condom zenyewe tunapewa kama msaada,cha kufanya ni kuacha ngono tu.
mkuu hatuna ela unataka tuendelee kusindikiza wanaoishi adi lini? hata tusienjoi japo kidogo kwa kupelekeana 🔥🔥🔥
 
kiukweli izo pesa ni zao ila cha ajabu sisi tunazililia tunaona ni haki yetu maajabu hayaishi duniani
Waafrika tumeshindikana yaani sisi na mbwa koko ni
Screenshot_2025-01-29-23-27-16-600_com.google.android.googlequicksearchbox-edit.jpg
 
Ni
Dawa za ARV zimekuwa na msaada mkubwa sana kuzuia maambukizi pale waathirika wanapokutana kimwili na ambao hawajaathirika.

Imefikia kipindi mtu anaweza kutembea peku na idadi kubwa lakini akipima kasalimika, mshukuru sana hizo ARV.

Baada ya misaada kusitishwa nchi za Afrika nyingi zipo katika hali mbaya kwasababu hakukuwa na mipango ya kuja kujitegemea, misaada inaonekana kama ni haki, viongozi wamehamisha lawama kwa Trump bila kuwa na chembe ya aibu kwa nchi zao kusaidiwa misaada mingi miaka mingi ila hadi leo tunategemea dawa.

So kinachoenda kutokea kukiwa hakuna upatikanaji rahisi wa dawa za ARV, kinga za waathirika zitashuka na wakikutana kimwili na wenzao ambao hawajaarhirika kutakuwa na maambukizi.

Kwa hali hii tutegemee watu wengi zaidi kuungwa kwenye gridi

Tunaweza kurudi enzi za miaka ya 2000, waliokuwepo enzi hizo wanajua.
Hatari sana hakika vijana tutapitia wakat mgumu tuache ngono zembe
 
Back
Top Bottom