Hakuna kitu kinawaumiza wanawake kama hiki

Light saber

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2017
Posts
4,368
Reaction score
7,935
Ebu fikiria girlfriend wako anakuja kwa keja yako akiwa amevaa chupi mpya, wewe kwa haraka zako unamvua pamoja na sketi yake bila hata kuiona Utafiti wa kisayansi unaonyesha kuwa; Hakuna kitu kinawaumiza wanawake kama hiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
haaaaa weee jamaa ni shida kweli
hata chupi mpya ina uzito eeeeh
duuuh kweli watu wametofautiana, wengine wanawaza hata kaongeza mkokoteni mpya wewe unawaza chupi mpya?
duuuh
 
haaaaa weee jamaa ni shida kweli
hata chupi mpya ina uzito eeeeh
duuuh kweli watu wametofautiana, wengine wanawaza hata kaongeza mkokoteni mpya wewe unawaza chupi mpya?
duuuh
Haaa unasemaje et
 
Chupi mpya inaongeza aski wacha tuseme kweli. Binafsi nikioona nyeupe akili zinahama kbs, naweza kukwambia Tanga na Tanzania ni nchi mbili jirani.
 
jje's kama ww w kike utakuw unajua , me nmenyimw chini kisa cjamsifia kavaa chupi mpyaaaa thatswhy nkaon niwape somo wanaume muwe mnawasifia bc

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…