Hii sheria kandamizi sana! Kama wamezuia mtu asifanye biashara maeneo hayo kwa nini wachukue mtaji wa mtu? Huku ni kurudisha nyuma harakati za vijana kujikomba!Nimeingia dar juzi nimepata chumba mbezi karbu na stand ya magufuli katika harakati za kusaka tonge leo nimechanganya kwenye nikawa nauza maji hapa mbezi stand ya daladala mgambo wakanikamata wakachukua mzigo nimerudi geto kulala, naombeni idea mishe gani nipige hapa town nisikose hela ya kulaView attachment 2695411
Kwa nini?Nyenzake na nyenzie hii.
Rubbish
Nini kwa?Kwa nini?
Kwa nini rubbish?Nini kwa?
Mkuu hizo Sandals zako, nimemiss kuvaa pamoja na rubega nikienda Umasaini kusalimia.Nimeingia dar juzi nimepata chumba mbezi karbu na stand ya magufuli katika harakati za kusaka tonge leo nimechanganya kwenye nikawa nauza maji hapa mbezi stand ya daladala mgambo wakanikamata wakachukua mzigo nimerudi geto kulala, naombeni idea mishe gani nipige hapa town nisikose hela ya kulaView attachment 2695411
Dah,pole Sana mkuu, laana ya Mungu iwe juu yao hao mbwaNimeingia dar juzi nimepata chumba mbezi karbu na stand ya magufuli katika harakati za kusaka tonge leo nimechanganya kwenye nikawa nauza maji hapa mbezi stand ya daladala mgambo wakanikamata wakachukua mzigo nimerudi geto kulala, naombeni idea mishe gani nipige hapa town nisikose hela ya kulaView attachment 2695411
Achana na huyo mtoto wa haramuKwa nini?
[emoji23][emoji23]rudi tena kwenye maji hadi wayaite mma
na wewe kama umezuiwa kufanya biashara eneo hilo kwa nini unaendelea kuhatarisha mtaji wako kwa kukaidi amri?Hii sheria kandamizi sana! Kama wamezuia mtu asifanye biashara maeneo hayo kwa nini wachukue mtaji wa mtu? Huku ni kurudisha nyuma harakati za vijana kujikomba!