Hakuna kupanda madaraja mwaka huu.

Hakuna kupanda madaraja mwaka huu.

MotoYaMbongo

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2008
Posts
2,146
Reaction score
886
Nimezipata hizi taarifa kwa watu wawili kuwa Serikali imetoa waraka kuzuia Watumishi kupanda madaraja mwaka huu eti hela hakuna, mwenye taarifa za uhakika nisaidie kama ni kweli au ikoje?
 
Nimezipata hizi taarifa kwa watu wawili kuwa Serikali imetoa waraka kuzuia Watumishi kupanda madaraja mwaka huu eti hela hakuna, mwenye taarifa za uhakika nisaidie kama ni kweli au ikoje?

Inawezekana ila sidhan
 
ni kweli manake hata kwetu tulipandishwa mwezi wa nne mwezi huu tumeletewa tena waraka kuwa zile barua tuzirudishe serekali imesema haizitambui hadi hapo watakapo tupa tena yangu sirudishi lakini
 
Hii hatari, something must be done kwa kweli, its too much sasa kwa hii Serikali.
 
Back
Top Bottom