Pre GE2025 Hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika kwenye haki ya wafungwa kupiga kura, Makalla amepotosha!

Pre GE2025 Hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika kwenye haki ya wafungwa kupiga kura, Makalla amepotosha!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mwaka 2022 Mahakama ilibatilisha kifungu cha 11 (1) (c) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi kinachoweka zuio kwa wafungwa wanaotumikia adhabu ya kunyongwa na wanaotumikia adhabu ya kifungo cha zaidi ya miezi 6 kujiandikisha ili kupiga kura.

1741280182789.png

Hivyo kwa kufuta kifungu hiki ilifanya wafungwa wote wa makosa ya kawaida ya jinai kuwa na haki ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu bila kujali muda ambao wametumikia gerezani.

Hukumu hiyo iliyotolewa na Jaji Elinaza Luvanda inatokana na shauri la Kikatiba lililofunguliwa na raia wawili; Tito Magoti na John Tulla ambao walikosa haki ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kutokana na kuwa mahabusu (japokua Sheria ilikua inakataza wafungwa na sio mahabusu) ambapo walidai kuwa kifungu hicho kinakinzana na Katiba Ibara ya 5(1) ambayo inaeleza kuwa kila raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 18 anayo haki ya kushiriki katika Uchaguzi Mkuu.

1741280251321.png

Sheria mpya ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2024 imeendelea kuwa na kifungu hiki kilichobatilishwa na Mahakama kwa kuendelea kuwanyima haki wafungwa kushiriki katika uchaguzi kwa kuwa hawana vigezo vya kujiandikisha kupiga, ambapo Kifungu cha 10(1)(c) kimesema wafungwa waliokuhumiwa kifo au kifungo zaidi ya miezi 6 hawatakuwa na haki ya kupiga kura!

1741280304563.png

1741280689347.png

Hivyo basically hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika kwasababu hata mwanzo wanaotumikia kifungo cha chini ya miezi 6 walikuwa bado na haki ya kupiga kura. Serikali imeendelea kukaidi amri ya mahakama iliyobatilisha kifungu kinachomzuia mfungwa kupiga kura (wakati Haki hiyo imetolewa kikatiba) na kukirejesha katika Sheria mpya ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani chini ya Kifungu cha 10(1)(c) kinachozuia wafungwa kujiandikisha na kupiga kura.

Pia soma: Makalla: Wafungwa chini ya miezi sita (6) watapiga kura Uchaguzi Mkuu

Hata Kifungu cha 42 ambacho anasema kinamruhusu kila mtu kupiga kura

1741280722555.png

kimewekewa kizingiti/kigezo kwamba lazima mtu awe amejiandikisha, lakini huwezi kujiandikisha kama hujakidhi vigezo, na kigezo kimojawapo ni kwamba hutakiwi kuwa mfungwa wa adhabu ya kifo au mfungwa wa zaidi ya miezi sita, sasa hii inamaanisha hamna mabadiliko yoyote makubwa yaliyofanywa au hata madogo kuhusu ushiriki wa wafungwa kwenye uchaguzi wa Urais kama anavyotupanga.

Team chawa ukiongozwa na mama anatosha Lucas Mwashambwa ChoiceVariable Tlaatlaah johnthebaptist mbebe na wenzenu mjeeee:BearLaugh::BearLaugh: msisahau kumbeba mwanasheria Pascal Mayalla awasaidie kusoma maandishi kwa uzuri
 

Attachments

  • 1741280273377.png
    1741280273377.png
    209.4 KB · Views: 1
Kuwekwa kizuizini kwa ridhaa ya rais ndio kuwa "detained during the pleasure of the president"? Hiki kiingereza kimekaaje kwa mnaoifahamu hii lugha!
 
Kuwekwa kizuizini kwa ridhaa ya rais ndio kuwa "detained during the pleasure of the president"? Hiki kiingereza kimekaaje kwa mnaoifahamu hii lugha!
Ndio hiko... kwa kile kiswahili tunakijua sisi tunasema Rais 'akiwiwa'😂😂... yaani siku akiamka akisema Gagnija umeinjoy sana uraiani nenda kanyee debe ni shwaaa umepotea:PeepoRunCry::PeepoRunCry:
 
Wakuu,

Mwaka 2022 Mahakama ilibatilisha kifungu cha 11 (1) (c) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi kinachoweka zuio kwa wafungwa wanaotumikia adhabu ya kunyongwa na wanaotumikia adhabu ya kifungo cha zaidi ya miezi 6 kujiandikisha ili kupiga kura.


Hivyo kwa kufuta kifungu hiki ilifanya wafungwa wote wa makosa ya kawaida ya jinai kuwa na haki ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu bila kujali muda ambao wametumikia gerezani.

Hukumu hiyo iliyotolewa na Jaji Elinaza Luvanda inatokana na shauri la Kikatiba lililofunguliwa na raia wawili; Tito Magoti na John Tulla ambao walikosa haki ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kutokana na kuwa mahabusu (japokua Sheria ilikua inakataza wafungwa na sio mahabusu) ambapo walidai kuwa kifungu hicho kinakinzana na Katiba Ibara ya 5(1) ambayo inaeleza kuwa kila raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 18 anayo haki ya kushiriki katika Uchaguzi Mkuu.


Sheria mpya ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2024 imeendelea kuwa na kifungu hiki kilichobatilishwa na Mahakama kwa kuendelea kuwanyima haki wafungwa kushiriki katika uchaguzi kwa kuwa hawana vigezo vya kujiandikisha kupiga, ambapo Kifungu cha 10(1)(c) kimesema wafungwa waliokuhumiwa kifo au kifungo zaidi ya miezi 6 hawatakuwa na haki ya kupiga kura!


Hivyo basically hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika kwasababu hata mwanzo wanaotumikia kifungo cha chini ya miezi 6 walikuwa bado na haki ya kupiga kura. Serikali imeendelea kukaidi amri ya mahakama iliyobatilisha kifungu kinachomzuia mfungwa kupiga kura (wakati Haki hiyo imetolewa kikatiba) na kukirejesha katika Sheria mpya ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani chini ya Kifungu cha 10(1)(c) kinachozuia wafungwa kujiandikisha na kupiga kura.

Pia soma: Makalla: Wafungwa chini ya miezi sita (6) watapiga kura Uchaguzi Mkuu

Hata Kifungu cha 42 ambacho anasema kinamruhusu kila mtu kupiga kura


kimewekewa kizingiti/kigezo kwamba lazima mtu awe amejiandikisha, lakini huwezi kujiandikisha kama hujakidhi vigezo, na kigezo kimojawapo ni kwamba hutakiwi kuwa mfungwa wa adhabu ya kifo au mfungwa wa zaidi ya miezi sita, sasa hii inamaanisha hamna mabadiliko yoyote makubwa yaliyofanywa au hata madogo kuhusu ushiriki wa wafungwa kwenye uchaguzi wa Urais kama anavyotupanga.

Team chawa ukiongozwa na mama anatosha Lucas Mwashambwa ChoiceVariable Tlaatlaah johnthebaptist mbebe na wenzenu mjeeee:BearLaugh::BearLaugh: msisahau kumbeba mwanasheria Pascal Mayalla awasaidie kusoma maandishi kwa uzuri
Hakuna haja ya kubabaika wala kumbwelambwela kuelekea uchaguzi mkuu wa kihistoria Oct mwaka huu 2025,

Mambo matatu muhimu yafuatayo ya kisheria kuhusu uchaguzi yalilifanyiwa marekebisho na bunge.

1. Hapatakua na mgombea kupita bila kupingwa, kila mgombea ni Lazima apigiwe kura.

2. Wakurugenzi wa halmashauri za wilaya hawatakua wasimamizi wa uchaguzi, badala yake watumishi waandamizi wa umma watawajibika kusimamia jukumu hilo zito na muhimu sana la kidemokrasia nchini.

3. Wafungwa wote wa chini ya miezi sita, watapata fursa ya kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na watashiriki zoezi la kupiga kura sambamba na wapiga kura wengine.

Sote tushiriki kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura litakalo anza March 17 katika mkoa wa Dar es salaam.
Usipange kukosa kupiga kura 🐒
 
Wakuu,

Mwaka 2022 Mahakama ilibatilisha kifungu cha 11 (1) (c) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi kinachoweka zuio kwa wafungwa wanaotumikia adhabu ya kunyongwa na wanaotumikia adhabu ya kifungo cha zaidi ya miezi 6 kujiandikisha ili kupiga kura.


Hivyo kwa kufuta kifungu hiki ilifanya wafungwa wote wa makosa ya kawaida ya jinai kuwa na haki ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu bila kujali muda ambao wametumikia gerezani.

Hukumu hiyo iliyotolewa na Jaji Elinaza Luvanda inatokana na shauri la Kikatiba lililofunguliwa na raia wawili; Tito Magoti na John Tulla ambao walikosa haki ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kutokana na kuwa mahabusu (japokua Sheria ilikua inakataza wafungwa na sio mahabusu) ambapo walidai kuwa kifungu hicho kinakinzana na Katiba Ibara ya 5(1) ambayo inaeleza kuwa kila raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 18 anayo haki ya kushiriki katika Uchaguzi Mkuu.


Sheria mpya ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2024 imeendelea kuwa na kifungu hiki kilichobatilishwa na Mahakama kwa kuendelea kuwanyima haki wafungwa kushiriki katika uchaguzi kwa kuwa hawana vigezo vya kujiandikisha kupiga, ambapo Kifungu cha 10(1)(c) kimesema wafungwa waliokuhumiwa kifo au kifungo zaidi ya miezi 6 hawatakuwa na haki ya kupiga kura!


Hivyo basically hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika kwasababu hata mwanzo wanaotumikia kifungo cha chini ya miezi 6 walikuwa bado na haki ya kupiga kura. Serikali imeendelea kukaidi amri ya mahakama iliyobatilisha kifungu kinachomzuia mfungwa kupiga kura (wakati Haki hiyo imetolewa kikatiba) na kukirejesha katika Sheria mpya ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani chini ya Kifungu cha 10(1)(c) kinachozuia wafungwa kujiandikisha na kupiga kura.

Pia soma: Makalla: Wafungwa chini ya miezi sita (6) watapiga kura Uchaguzi Mkuu

Hata Kifungu cha 42 ambacho anasema kinamruhusu kila mtu kupiga kura


kimewekewa kizingiti/kigezo kwamba lazima mtu awe amejiandikisha, lakini huwezi kujiandikisha kama hujakidhi vigezo, na kigezo kimojawapo ni kwamba hutakiwi kuwa mfungwa wa adhabu ya kifo au mfungwa wa zaidi ya miezi sita, sasa hii inamaanisha hamna mabadiliko yoyote makubwa yaliyofanywa au hata madogo kuhusu ushiriki wa wafungwa kwenye uchaguzi wa Urais kama anavyotupanga.

Team chawa ukiongozwa na mama anatosha Lucas Mwashambwa ChoiceVariable Tlaatlaah johnthebaptist mbebe na wenzenu mjeeee:BearLaugh::BearLaugh: msisahau kumbeba mwanasheria Pascal Mayalla awasaidie kusoma maandishi kwa uzuri
Hivi bado kuna anayemuamini Makalla?
 
Wakuu,
msisahau kumbeba mwanasheria Pascal Mayalla awasaidie kusoma maandishi kwa uzuri
Mkuu Cute Wife ,ubarikiwe sana kwa elimu hii!,mimi nimepandisha humu mabandiko zaidi ya 100 kuomba mabadoliko ya katiba,kurejesha haki ndani ya katiba yetu!。

Kwa vile,tumeomba sana,kupitia maandiko, sauti, vipindi vya redio na TV, she did nothing!,before the last final,attempt,nafanya utafiti if she is innocent genuine,kama ni kweli hajui,tutamsamehe,
Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki? lakini kama ukweli anajua ila ni anatufanyia kiburi tuu na jeuri ya madaraka na mamlaka, then。。。!

P
 
Hakuna haja ya kubabaika wala kumbwelambwela kuelekea uchaguzi mkuu wa kihistoria Oct mwaka huu 2025,

Mambo matatu muhimu yafuatayo ya kisheria kuhusu uchaguzi yalilifanyiwa marekebisho na bunge.

1. Hapatakua na mgombea kupita bila kupingwa, kila mgombea ni Lazima apigiwe kura.

2. Wakurugenzi wa halmashauri za wilaya hawatakua wasimamizi wa uchaguzi, badala yake watumishi waandamizi wa umma watawajibika kusimamia jukumu hilo zito na muhimu sana la kidemokrasia nchini.

3. Wafungwa wote wa chini ya miezi sita, watapata fursa ya kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na watashiriki zoezi la kupiga kura sambamba na wapiga kura wengine.

Sote tushiriki kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura litakalo anza March 17 katika mkoa wa Dar es salaam.
Usipange kukosa kupiga kura 🐒
Chawa chawa:BearLaugh::KEKLaugh: yaani siku hizi ni mwendo wa kububujikwa machozi ya huzuni tu... kila mnapogeuka mnalabuliwa... lazima mkae mguu sawa saivi:KEKWlaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:
 
Mkuu Cute Wife ,ubarikiwe sana kwa elimu hii!,mimi nimepandisha humu mabandiko zaidi ya 100 kuomba mabadoliko ya katiba,kurejesha haki ndani ya katiba yetu!。

Kwa vile,tumeomba sana,kupitia maandiko, sauti, vipindi vya redio na TV, she did nothing!,before the last final,attempt,nafanya utafiti she is innocent,ni kweli hajui,tutamsamehe,
Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki? lakini
kama anajua ila ni anatufanyia kiburi na jeuri, then。。。!

P
Shukran Mkuu
 
Mkuu Cute Wife ,ubarikiwe sana kwa elimu hii!,mimi nimepandisha humu mabandiko zaidi ya 100 kuomba mabadoliko ya katiba,kurejesha haki ndani ya katiba yetu!。

Kwa vile,tumeomba sana,kupitia maandiko, sauti, vipindi vya redio na TV, she did nothing!,before the last final,attempt,nafanya utafiti she is innocent,ni kweli hajui,tutamsamehe,
Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki? lakini
kama anajua ila ni anatufanyia kiburi na jeuri, then。。。!

P
Kama ni hivyo, kwa nini mara nyingi inaonekana kama unaegemea upande wa Serikali ambao hawataki mabadiliko hayo? Ndugu tafuta upande mmoja. Kama ni kwa wataka mabadiliko kaa upande wa wataka mabadiliko, kama ni kwa wakandamizaji kaa upande wao. Acha mchanganyo mchanganyo.
 
Mkuu Cute Wife ,ubarikiwe sana kwa elimu hii!,mimi nimepandisha humu mabandiko zaidi ya 100 kuomba mabadoliko ya katiba,kurejesha haki ndani ya katiba yetu!。

Kwa vile,tumeomba sana,kupitia maandiko, sauti, vipindi vya redio na TV, she did nothing!,before the last final,attempt,nafanya utafiti she is innocent,ni kweli hajui,tutamsamehe,
Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki? lakini
kama anajua ila ni anatufanyia kiburi na jeuri, then。。。!

P
Mkuu P katika ubora wako.
 
Kama ni hivyo, kwa nini mara nyingi inaonekana kama unaegemea upande wa Serikali ambao hawataki mabadiliko hayo?
Ni inaonekana ni kama,sijawahi kuegemea upande wa serikali。
Ndugu tafuta upande mmoja. Kama ni kwa wataka mabadiliko kaa upande wa wataka mabadiliko,
kwa mujibu wa fani yetu,sisi。media ni non partisan, tunapaswa kuwa neutral wakati wote.
kama ni kwa wakandamizaji kaa upande wao.
media tukaa upande wa wakweli,kama wakandamizaji ni wa kweli,tunasimama nao!。
Acha mchanganyo mchanganyo.
Nimekusikia。
P
 
Back
Top Bottom