Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapoteza nguvu zako msingi bureeee
Bofloo eehhhe umerudi wapi rojo tukuchovywe na chai ya hiliki na mdalasinihuyo mdada anatumia mkorogo
huyo mdada anatumia mkorogo
huyo mdada anatumia mkorogo
hahahaahahaah.....umejuaje kama yemen wanatumia misuliBoflo unauliza Msuli Yemen:confused2:
huyo mdada anataka kugeuka mwarabu kinguvu.....kwi kwi kwiBoflo unauliza Msuli Yemen:confused2:
....ukisha andaa.......WHAT IS NEXT?????Jinsi ya kuandaa mkate wa BOFLO
Mahitaji
Unga nusu kilo
Chumvi kiasi
Sukari kijiko 1 cha chai
Hamira kiasi
Mafuta ya kupikia vijiko 2 vya kula
Maji 1 mug (300ml)
Namna ya kupika
Changanya unga, chumvi na hamira
Kwenye mug changanya maji, sukari na mafuta
Mimina maji kidogo kidogo ndani yaunga
Ponda unga wako mpaka ulainike
Uwache mpaka uje juu
Uponde tena kidogo
Ugawe mara mbili
Weka kwenye vibati vilopakwa mafuta
Uwache uje juu sana
Bake 40 minutes au mpaka ukiona tayari
....ukisha andaa.......WHAT IS NEXT?????