johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati wote na mahali pote Mchungaji Msigwa anaelezea ubaya wa Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe tu na huwezi kumsikia akielezea ubaya wa Chadema kama chama
Ogopa sana Mtu wa namna kwani ni Janjajanja fulani
Mlale Unono 😀
Ogopa sana Mtu wa namna kwani ni Janjajanja fulani
Mlale Unono 😀