inaweza kuwa infection yoyote katika mwili sio lazima malaria watu wengi tunafikiri joto la mwili kupanda ni malaria joto la malaria lina kiwango chake pia lakini infection inaweza kupandisha hata mpaka 40 na hapo ndipo mtoto anawezapatwa na ile kitu inaitwa degedege na hata kupoteza maisha ua kuleta tatizo katoka ubongo hivyo kuja kumfanya mtoto kuwa na kumbukumbu ndogo au hata tahaira kabisa.
Kama mtoto anapata UTI na ni wa kiume solution yake ni kumtahiri pia kujitahidi sana kumweka kaika mazingira masafi, haswa kama ni wa kike pia hawa wakinadada tunawaachia watoto wengi wao hawajui kuwatunza watoto au wengine hawajali na wengi wao tumewatoa vijini hawajali sana swala la usafi kwa mtoto hii mara nyingi hupelekea mtoto kutapa UTI.
Pia ni vizru kuhakikisha unapima malaria hata mara mbili kwa sehemu mbili tofauti hawa wataalamu wetu wa maabara nao wakati mwingine ni binadabu kama wengine na wengine sio makini kwenye kazi yaani wazembe