Hapo kwenye kuuza Papa ndio nimekuelewa vizuribiashara hata kudanga
Anauza Papa mpaka international anawawakilisha vyema wakina mankaManka mpambanaji haswa
Kudanga wenyewe wanaita kujitafuta kwa acha ajitafute atajipataKuna manka mmoja hapa ofisini kwetu ... acha nisiseme asijekuwa hapa jf pia.
Ila sio kila manka ni MANKA. Wengine ni manka wa kuchora