Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha Dunia Duara

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia Kwenu wadau wa JF,
Kweli wahenga waliona mbali na kauli zao na nimeamini hakuna marefu yeyote yasiyokuwa na mwisho,usemi wao umethibitishwa na ma- beautiful oninyes wa donta,miaka kadhaa iliyopita walitikisa sana na mautajiri yao ya ajabu ajabu mara mwingine ana x5 ya 175mil mara mwingine ana nyumba ya 400m.

Lakini sasa kwishney kemcho tunakaa kwa raha maana wanaume tulikuwa tunaonekana suruali tu mbele za watu tukikanyaga ngodi(tz 11) na kupanga stoo maana hao ndio waliokuwa wanatolewa mfano iweje we na degree yako hauna nyumba wala gari wakati wacheza bongo mavi wanazo? Ukweli umejulikana.

 
Wolper alitisha na x6 na kupanga ghorofa mbezi beach, ila mama ubaya aliua kununua nyumba ya mil 400
 
Wolper alitisha na x6 na kupanga ghorofa mbezi beach, ila mama ubaya aliua kununua nyumba ya mil 400

ilikuwa hatunywi maji kumbe anamyonya muuza sembe mpaka kamfilisi! Ni sheeedaaa!
 
mbona Wema bado anaishi kwenye nyumba yake ya 400ML,kwa hiyo kama ulionekana mwanaume suruali tu kwa sababu ya mansion ya mama ubaya..ujue bado we ni mwanaume suruali...
 
mbona Wema bado anaishi kwenye nyumba yake ya 400ML,kwa hiyo kama ulionekana mwanaume suruali tu kwa sababu ya mansion ya mama ubaya..ujue bado we ni mwanaume suruali...

Mama ubaya aishi pale wewe! Katika mansion ile sio mansio ile ni crib tu.
 
Sidhani kama bado yupo pale labda warumi anaweza akawa anajua zaidi anaishi wapi siku hizi mama ubaya!

Anaishi kijitonyama ila sio kwenye ile nyumba aliyopangishiwa na clement, mbona hata kwenye kipindi chake walionyesha hiyo nyumba, kama mtu una kipaji kama warumu utajua, maana nilivyoona mazingira ya nje na rangi ya ukuta ni tofauti, ile ya clement ilikuwa kali sana hadi paving zake na rangi inawaka, sasa hii ya sasa ivi ni mbaya, nje kama nyumba za uswazi, ukipaki garu ndani nje unaona kila kitu, ndani pako wazi
 
Last edited by a moderator:

Thanks kwa ufafanuzi yap nliona kwenye kipindi chake,haishi pale nadhani mpululu kashapata jibu.
 
Last edited by a moderator:

Thanks kwa ufafanuzi yap nliona kwenye kipindi chake,haishi pale nadhani mpululu kashapata jibu.
 
Last edited by a moderator:

Ila wewe binamu kwenye upashukunaku huna mpinzani,ngojea Maatope aje auongozee nyama kuhusu shemeji yake Wema bint Sepetu.
 
hivi ngurumo au gurumo?

Nime quote mistari ya watu sio yangu nadhani rich mavoko anajua zaidi ila kwa mimi nawafahamu wanaoutumia hayo majina kuna late Muhidin Gurumo na pia kuna kamanda Ansbert Ngurumo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…