JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Hudhaifa ambaye ni Mtanzania anayeishi katika Jiji la Guangzhou amesema kuwa yeye alifika nchini humo takribani wiki 2 zilizopita
Akihojiwa na Redio ya Kimataifa ya China(CRI) amesema yeye amekaa Karantini kwa siku zinazotakiwa na Mamlaka ya China na hakuona tatizo lolote kwasababu alifuata taratibu zilizowekwa
Amethibitisha kuwa hakuna matatizo yoyote kwa Watanzania wanaoishi katika Jiji la Guangzhou
Hata Balozi wa Tanzania nchini humo, Mbelwa Kairuki amewasisitiza Watanzania wanaoishi China, kutii masharti yote yaliyowekwa na Serikali ya nchi hiyo
#JFCOVID19_Updates
Akihojiwa na Redio ya Kimataifa ya China(CRI) amesema yeye amekaa Karantini kwa siku zinazotakiwa na Mamlaka ya China na hakuona tatizo lolote kwasababu alifuata taratibu zilizowekwa
Amethibitisha kuwa hakuna matatizo yoyote kwa Watanzania wanaoishi katika Jiji la Guangzhou
Hata Balozi wa Tanzania nchini humo, Mbelwa Kairuki amewasisitiza Watanzania wanaoishi China, kutii masharti yote yaliyowekwa na Serikali ya nchi hiyo
#JFCOVID19_Updates
Upvote
0