Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
-
- #21
Ruzuku,ubunge,biashara na chama wewe kaa hujui kituKwani katika akili yako ya kijinga,unafikili Mbowe ananjaa kama yako?kama wewe siyo mtoto wa mama/ kula kulala,waulize wazazi wako huko kijijini walipo,debe la mahindi au kilo moja ya unga ni shilingi ngapi kwa sasa?
Umeshwona Wenge akifafanya siasa hivi karibuni?
Ndugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Ushuzi mtupu hakuna logic hata kidogoNdugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Tuwaambie ukweli tu mwakani kwenye uchaguzi mkuu mchakato na upinzani utakuwa ndani ya CCM tu ukishatoboa kwenye chama tayari wewe ni mbunge au diwani wananchi wanaielewa CCM upinzani upo hapa na huko twita tu.Ndugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Ndugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
wewe umebeba K.I.C.H.W.A.N........mboji au Samadi.Ndugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
SKwahiyo unafikiri kuna binadamu anayeweza kuamua kupoteza muda wake kwenye kugombea akijua kuwa ataenguliwa mwanzoni?
Hata mitandaoni kanyutiHajafanya maana Magufuli kapiga marufuku, kama hujachaguliwa sehemu usifanye siasa, labda uwe mwanaccm. Hata hivyo kwani kufanya siasa za majukwaani ndio kunampa mtu uhai wa kuishi?
Utaelewa tuUshuzi mtupu hakuna logic hata kidogo
Njaa haina baunsaUna maana uchaguzi wa ngazi za chini viongozi hao wa upinzani wamegoma kushiriki bali watashiriki udiwani na ubunge hapo itakapofika 2020 mwakani? ngoja tuone.
BANDUGU PATACHIMBIKA, KAMA UNADHANI UBUNGE WATASUSIA NA MPITISHE WA KWENU, KAMA AKIPITA APITE KIHALALI SIO KWA WIZI MNAOFANYA, NA MSITOE MAWAKALA WAO NJE KURA MUHESABU NYIE WENYEWE, NA MSIWE NA BOX LA KURA LA ZIADA, MANAKE MNASEMA WATAANZA WANAJESHI KWANZA KUPIGA KURA NDIO RAIA TUFATE, BANDUGU, BADAMU BATAMWAGIKANdugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Kamanda upo?BANDUGU PATACHIMBIKA, KAMA UNADHANI UBUNGE WATASUSIA NA MPITISHE WA KWENU, KAMA AKIPITA APITE KIHALALI SIO KWA WIZI MNAOFANYA, NA MSITOE MAWAKALA WAO NJE KURA MUHESABU NYIE WENYEWE, NA MSIWE NA BOX LA KURA LA ZIADA, MANAKE MNASEMA WATAANZA WANAJESHI KWANZA KUPIGA KURA NDIO RAIA TUFATE, BANDUGU, BADAMU BATAMWAGIKA
Hata mitandaoni kanyuti
Unajisemea wewe mwenyewe na vibaraka wako.Kwa kura za wananchi hilo bunge litajaa wabunge wa cdm, ila kwa mapenzi ya rais ataagiza uchaguzi unajisiwe kama alivyoagiza sasa. Nadhani unajua tabia za ibilisi ni kuharibu taratibu.
Au ni wewe Mkuu?Huku kulipojaa fake ID unamjuaje mtu?