Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,467
- 1,697
Naomba definition ya maneno yako; " Siasa chafu"Suala la maslahi ni mtu yoyote iwe mbunge au yoyote, ila sio maslahi ya siasa chafu. Ufahamu hata wao wanategemea sisi tupige kura ndio washinde, sasa kama sisi wapiga kura wao tumepuuza huo uchaguzi mpaka mazingira ya uchaguzi yawe ya kutenda haki, wao hata wakishiriki ni kupoteza tu muda.
Au ni wewe Mkuu?
Naomba definition ya maneno yako; " Siasa chafu"
Labda watanzania ambao ni keyboard warriors kwa ujira wa huku 7 na si vingenevyo. Jipime!Watanzania wamewachoka chadema na sasa wanaona utapeli mkongwe wa chama hiki ,hakuna Mbunge hata mmoja atarudi bungeni 2020
State agent
Sielewi kitu gani kina endelea. Naomba ufafanuzi fasaha na kwa ushahidi!Kinachoendelea kwenye uchaguzi huu ndio picha halisi ya siasa chafu.
Sielewi kitu gani kina endelea. Naomba ufafanuzi fasaha na kwa ushahidi!
Walitoka mwishoni nenda youtube utaona wakina Tundu Lissu na wengine wakichangia
Wakati wa bunge la katiba hivi ulikuwa umesha fukuzwa Bavicha na kujiunga na CCM? Zile ziara zako na Mwigulu kila mahali kama spare tyre mlishazianza? Ila ulitumika! Hakika wewe ni shujaa na ulistahili kutunukiwa cheo kwa uvumilivu.Bunge la Katiba walihudhuria lote wakatoka kipindi cha kupiga kura.Kama posho za vikao wanachukua ndio wanatoka nje sioni wakugoma miaka mitano kamanda.Umeelewa sasa
Ndugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Watanzania wamewachoka chadema na sasa wanaona utapeli mkongwe wa chama hiki ,hakuna Mbunge hata mmoja atarudi bungeni 2020
State agent
We kenge tuUtaelewa tu
Ndugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Bunge la Katiba walihudhuria lote wakatoka kipindi cha kupiga kura.Kama posho za vikao wanachukua ndio wanatoka nje sioni wakugoma miaka mitano kamanda.Umeelewa sasa
Kamanda jielekeze kwenye hojaWakati wa bunge la katiba hivi ulikuwa umesha fukuzwa Bavicha na kujiunga na CCM? Zile ziara zako na Mwigulu kila mahali kama spare tyre mlishazianza? Ila ulitumika! Hakika wewe ni shujaa na ulistahili kutunukiwa cheo kwa uvumilivu.
Hii ni pande zote. Hata wa CCM hakuna awezaye kufanya hivyoNdugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Sawa! Si ndiyo maana nimekuomba unifafanulie ili nielewe kinachoendelea mkuu ili nisibaki gizani?Endelea kufua nguo za watoto wa boss wako, haya yanayoendelea huna uwezo wa kuyaelewa.
Wakati wa binge la katiba Wakudadavuwa alikuwa people’s powerRudi shule ukajifunze propaganda, hao wabunge walitoka kwenye bunge la katiba na kulikuwa na hela za kuokota ndio itakuwa hayo usemayo? Uzuri ni kuwa wananchi tumeamua kuwa hatutashiriki ushenzi wowote mpaka uchaguzi uheshimiwe. Kwa hiyo wao nguvu yao ni sisi wapiga kura wao. Ccm wao wanaweza kushiriki maana hawashindi kwa kura za wananchi, bali kupitia madaraka ya rais kwa nafasi yake ya ukuu wa dola.
Ndugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.