Sawa! Si ndiyo maana nimekuomba unifafanulie ili nielewe kinachoendelea mkuu ili nisibaki gizani?
Sasa mambo ya kufua nguo za watoto wa Boss wangu yanakujaje? Wewe mimi hunijui, pemgine mimi ndiye huyo boss je? Utajuaje?
Kuwa mstaarabu na jaribu kuleta jibu lenye uhakika.
Wakati wa binge la katiba Wakudadavuwa alikuwa people’s power
Mwigulu alimtumia na yule pacha wake walikuwa kama imolo na pepe kaleNi mpuuzi fulani anayeishi kwa kujipendekeza ili atoke kimaisha.
Acha kuwaza kwa kutumia makalio ccm na chadema nani kaweka Mpira kwapani? Acha kuchokoza watu wamenyamazaNdugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Mwigulu alimtumia makes yule pacha wake walikuwa kama imolo na pepe kale
Hata wakigombea sisi wapiga kura HATUTA PIGA KURA.Bunge la Katiba walihudhuria lote wakatoka kipindi cha kupiga kura.Kama posho za vikao wanachukua ndio wanatoka nje sioni wakugoma miaka mitano kamanda.Umeelewa sasa
Kamanda binge ndio nini?Wakati wa binge la katiba Wakudadavuwa alikuwa people’s power
Umejiandikisha lini kamanda?Hata wakigombea sisi wapiga kura HATUTA PIGA KURA.
Haina maana kumpigia mtu kura halafu anauawa. , Anatekwa. , Anapotezwa. , Anaunga mkono juhudi.
Hatufanyi ujinga huo Tena.
HuelewekiMaoni inaijadili miaka 4 ya uongozi wa Rais Pombe Magufuli
Chini ya mwaka 1 wapigakura nchini Tanzania, watakuwa wamepiga kura zao kwenye uchaguzi mwengine mkuu unaotazamiwa kuvishirikisha vyama vingi. Tayari joto la uchaguzi limeshashika kasi miongoni mwa rubaa za kisiasa na wadau wengine kwenye taifa hilo. Lakini je, miaka minne ya utawala wa Rais...amp.dw.com
Bunge litakuwa la Chama kimoja tu CCM hivyo itakuww raha kwa Bunge na serikali
Kwani kwa sasa ni kipi ambacho upinzani waliwahi kukwamisha kisipitishwe bungeni?Kwahiyo bunge litakuwa linapitisha vitu vingi kwa maslahi ya chama
Ndio mkuuKwahiyo bunge litakuwa linapitisha vitu vingi kwa maslahi ya chama
Nakuona kwenye ubora wako bintiNdugu zangu,
Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.
Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.
Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.
Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Zanzibar vipi,? mbona CUF walisusia uchaguzi feki wa marudioBunge la Katiba walihudhuria lote wakatoka kipindi cha kupiga kura.Kama posho za vikao wanachukua ndio wanatoka nje sioni wakugoma miaka mitano kamanda.Umeelewa sasa