Uchaguzi 2020 Hakuna Mbunge CHADEMA anayeweza kushauri kugomea uchaguzi mkuu 2020

tatizo ni wananchi hawataenda kupiga kura kama tume haitakuwa huru so wagombea wa upinzani watagombea hatuendi kupoteza muda kupiga kura wakati tunajua hatushindi
 
Weka nakala ya utafiti ulofanya, huna, achana na porojo za kuwinda uteuzi.
Watanzania wamewachoka chadema na sasa wanaona utapeli mkongwe wa chama hiki ,hakuna Mbunge hata mmoja atarudi bungeni 2020

State agent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…